Je, CCM bila Mkapa itatoboa?

Je, CCM bila Mkapa itatoboa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa Sasa kila mwanaccm anasimama na kusema chochote huku huyu akimtisha yule

Najiuliza tu mtatuzi wa migogoro mingi ndani ya Chama alikuwa Mzee Mkapa na Wote walimwogopa

Sasa Mkapa amelala, je CCM itatoboa?
 
Ukiona familia inakosa mkuu wa familia inavyokuwa ndo nchi hii iliko sass. Ambaye angedhaniwa kuwa kiongozi ndo huyo wa msoga lakini kwa matendo yake yeye mwenyewe anajishtukia, anajua siku akisimama kuongea kuna watu wataamsha hasira kwake na kwa familia yake. Kimsingi wananchi wana hasira naye ya kiwango cha juu sana

Kwa sasa wenye kusikia na wasikie, chama hakuna mkubwa wala mdogo na uzuri kila mtu anajiona anaweza, muda wa wazee nao umeisha na hata sauti zao haziwezi tena kwa nyakati tulizopo

Nakumbuka 2010-2015 huyo huyo msoga alikuwa ameshakizika chama kwa style hii kama ya bibi huyu chupu chupu akaletwa mwamba ndo kiasi akawarudishia watu imani na hata mtaani wadau tukaanza tena kuvaa sare zetu. Sasa kwa mara nyingine tena JK yuko nyuma na hawajari hari na kelele za wananchi mtaani. CCM haitakufa lakini mara hii tutaonja shuruba. Na mie natamani hii minyukano izidi kwa manufaa ya Taifa la Tz
 
Back
Top Bottom