The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Kutokana na shauku kubwa ya maendeleo niliyo nayo na ukizingatia kuwa nchi yetu ina kila mazingira ya kutufanya uchumi wa nchi yetu ukuwe kuliko mataifa mengi, ndipo najiuliza hiki chama tulichokipa dhamana kituongoze kina mpango wowote kutupeleka huko!?
Au mpango wao ni kupambana na wapinzani na kuhakikisha wanamdibiti kila anaeonekana ni tishio kwa nafasi zao?
Au mpango wao ni kupambana na wapinzani na kuhakikisha wanamdibiti kila anaeonekana ni tishio kwa nafasi zao?