Je CCM wapo Tayari kuipokea habari yya kuanguka ???

Je CCM wapo Tayari kuipokea habari yya kuanguka ???

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Kila nikikaa najiuliza kama hawa CCM wapo tayari kuipokea habari ya kushindwa ,maana habari ya kushindwa itaanzia kwenye Bunge la katiba na kuendelea kuwa mtiririko hadi kisinyae na kutokujulikana kama kitabaki kuwa chama cha upinzani au kitakufa.

Wasiwasi ambao umetanda je CCM watakubali kushindwa au watarusha vichwa ? CCM haijazoea kushindwa ,haijazoea kubeba aibu ya kushindwa kitaifa ,kauli za CCM sio za kibusara zimejaa ubabe hawajawahi kuwambia wanachama wao wakubali matokeo kwa jinsi hali inavyokwenda.

Tunawasikia watu haswa waCCM wakielekeza shutuma kwa vyama vingine kuwa vinataka kuivuruga nchi ,vinataka kuleta vurugu na shutuma nzito hata kuhusisha na ugaidi na wafuata upepo nao huamini ,yote yanasukumwa huko na CCM ili kuonyesha dunia kuwa vyama hivyo vina agenda ya siri vinaposhindwa au vitakaposhindwa ,na huhusisha hata hisia za mikutano ya vyama hivyo vinapozungumza kwa sauti kuu na yenye msisimko,tunaona Chadema wanaambiwa hivyo,CUF waliwahi kuambiwa hivyo hata mapanga yao kuonyeshwa kwenye vyombo vya habari na hata UAMSHO nao wamefikia hata kufungwa ,zot hizi ni hila za kuwaonyesha kuwa wapinzani ni waliokusudia kuivuruga Nchi.

Narudia kusema na kuuliza kama CCM wapo tayari kuikubali hali ambayo inawaelekea ya kuanguka ,je wao sio watakaokuwa wa mwanzo kuitia nchi kwenye vurugu na isiyotawalika ?
 
Kila nikikaa najiuliza kama hawa CCM wapo tayari kuipokea habari ya kushindwa ,maana habari ya kushindwa itaanzia kwenye Bunge la katiba na kuendelea kuwa mtiririko hadi kisinyae na kutokujulikana kama kitabaki kuwa chama cha upinzani au kitakufa.

Wasiwasi ambao umetanda je CCM watakubali kushindwa au watarusha vichwa ? CCM haijazoea kushindwa ,haijazoea kubeba aibu ya kushindwa kitaifa ,kauli za CCM sio za kibusara zimejaa ubabe hawajawahi kuwambia wanachama wao wakubali matokeo kwa jinsi hali inavyokwenda.

Tunawasikia watu haswa waCCM wakielekeza shutuma kwa vyama vingine kuwa vinataka kuivuruga nchi ,vinataka kuleta vurugu na shutuma nzito hata kuhusisha na ugaidi na wafuata upepo nao huamini ,yote yanasukumwa huko na CCM ili kuonyesha dunia kuwa vyama hivyo vina agenda ya siri vinaposhindwa au vitakaposhindwa ,na huhusisha hata hisia za mikutano ya vyama hivyo vinapozungumza kwa sauti kuu na yenye msisimko,tunaona Chadema wanaambiwa hivyo,CUF waliwahi kuambiwa hivyo hata mapanga yao kuonyeshwa kwenye vyombo vya habari na hata UAMSHO nao wamefikia hata kufungwa ,zot hizi ni hila za kuwaonyesha kuwa wapinzani ni waliokusudia kuivuruga Nchi.

Narudia kusema na kuuliza kama CCM wapo tayari kuikubali hali ambayo inawaelekea ya kuanguka ,je wao sio watakaokuwa wa mwanzo kuitia nchi kwenye vurugu na isiyotawalika ?
Mkuu Mwiba, pole sana!, kumbe na wewe huwezi kusoma trend?!. Ushindi wa CCM kwenye bunge la katiba, ni turufu yao ya idadi!, uamuzi kuhusu kura ya siri au ya wazi kuamuliwa kwa kura, then its obvious CCM ndio watashinda, maamuzi juu ya serikali mbili au tatu, ysatapitishwa kwa kura ya wazi!, serikali ni mbili, tende kwenye mengine!.
Pasco
 
Mkuu Mwiba, pole sana!, kumbe na wewe huwezi kusoma trend?!. Ushindi wa CCM kwenye bunge la katiba, ni turufu yao ya idadi!, uamuzi kuhusu kura ya siri au ya wazi kuamuliwa kwa kura, then its obvious CCM ndio watashinda, maamuzi juu ya serikali mbili au tatu, ysatapitishwa kwa kura ya wazi!, serikali ni mbili, tende kwenye mengine!.
Pasco

Hiyo ya wingi wa CCM nimeuwona kwa undani zaidi ,ila ninachokiona ni uasi ndani ya CCM kwa maana ya liwalo na liwe ,mbali ya mikakati na semina na vitisho kama vipo wanavyopeana wenyewe kwa wenyewe hao wajumbe wa CCM mnaowategemea ,wengi wanajiona wapo huru kuliko kabla ya bunge hili la katiba na naamini kabisa wabunge au hao wajumbe wa CCM hawatakuwa kama wanyama au ng'ombe waliofungwa kamba za puani ,sasa ndio mtu au mjumbe atakuwa anajiamini kwa maana yeye mwenyewe atajiweka katika hali ya kutomuogopa mtu pale anapotaka kuamua kwa mazingatio ya wananchi na sio chama chake.
 
mjomba nguvu ya umma ndiyo iliyoleta uhuru wa nchi hii , umma utawapa mafunzo ya KUKUBALI KUTOKUBALIANA !
 
Mkuu Mwiba, pole sana!, kumbe na wewe huwezi kusoma trend?!. Ushindi wa CCM kwenye bunge la katiba, ni turufu yao ya idadi!, uamuzi kuhusu kura ya siri au ya wazi kuamuliwa kwa kura, then its obvious CCM ndio watashinda, maamuzi juu ya serikali mbili au tatu, ysatapitishwa kwa kura ya wazi!, serikali ni mbili, tende kwenye mengine!.
Pasco

KURA za SIRI lakini zitatumika kuamua kama KURA za Kuamua muungano ziwe za SIRI au WAZI.
Je jibu hulioni hapo kuwa ni moja kwa moja MACCM wataangukia Pua.
 
hiyo ya wingi wa ccm nimeuwona kwa undani zaidi ,ila ninachokiona ni uasi ndani ya ccm kwa maana ya liwalo na liwe ,mbali ya mikakati na semina na vitisho kama vipo wanavyopeana wenyewe kwa wenyewe hao wajumbe wa ccm mnaowategemea ,wengi wanajiona wapo huru kuliko kabla ya bunge hili la katiba na naamini kabisa wabunge au hao wajumbe wa ccm hawatakuwa kama wanyama au ng'ombe waliofungwa kamba za puani ,sasa ndio mtu au mjumbe atakuwa anajiamini kwa maana yeye mwenyewe atajiweka katika hali ya kutomuogopa mtu pale anapotaka kuamua kwa mazingatio ya wananchi na sio chama chake.

uko sahihi sana ! Ccm imegawanyika mno !
 
KURA za SIRI lakini zitatumika kuamua kama KURA za Kuamua muungano ziwe za SIRI au WAZI. Je jibu hulioni hapo kuwa ni moja kwa moja MACCM wataangukia Pua.
Mkuu Kibanga, 80% ya wajumbe mule ni pro-CCM!, itapigwa kura ya siri, kuamua kama upitishwaji wa vifungu contentious uwe wa siri au wa wazi, ndani tuu ya hiyo 80%, CCM tayari watakuwa wana loyals wao zaidi ya 66% ambao wanatosha kabisa kupitisha kura iwe ya wazi, hivyo CCM kuwa mshindi!.

Kura ya wazi ikiisha shinda, CCM wanakuwa wameishamaliza mchezo!, kitakapofika kipengele cha serikali 3, wataleta ile hoja yao ya serikali mbili!, wataanda kiji pressure group cha hoja ya serikali moja!, japo hoja hiyo ya serikali moja, itapingwa sana na Wanzanzibari, itachangiwa kwa hoja za nguvu, hivyo kuwatisha Wanzanzibari kuogopa tishio la kumezwa, then bunge maalum litapiga kura ya wazi kuchagua kati ya serikali mbili au tatu, na hapo ndio itakuwa game over!, tunarudi kule kule tulikotoka!, serikali mbili, ambapo Wazanzibari wa serikali tatu watashukuru Mungu bora hizo mbili, maana ilikuwa almanusura iwe serikali moja!.

"I fear the Greeks, especially when they bring gifts!", Katiba ni zawadi ya JK kwa Watanzania!, japo tulitaka "Katiba Bora", mchakato utatupatia "Bora Katiba!", maadam Katiba mpya ni zawadi!, mtu huchagui zawadi!, unapokea tuu kile chochote ulicholetewa!.
Pasco.
 
Mkuu Kibanga, 80% ya wajumbe mule ni pro-CCM!, itapigwa kura ya siri, kuamua kama upitishwaji wa vifungu contentious uwe wa siri au wa wazi, ndani tuu ya hiyo 80%, CCM tayari watakuwa wana loyals wao zaidi ya 66% ambao wanatosha kabisa kupitisha kura iwe ya wazi, hivyo CCM kuwa mshindi!.

Kura ya wazi ikiisha shinda, CCM wanakuwa wameishamaliza mchezo!, kitakapofika kipengele cha serikali 3, wataleta ile hoja yao ya serikali mbili!, wataanda kiji pressure group cha serikali moja!, itapingwa sana na Wanzanzibari, then bunge maalum litapiga kura ya wazi kuchagua kati ya serikali mbili au tatu, na hapo ndio game over!, tunarudi kule kule tulikotoka!.
"I fear the Greeks, especially when they bring gifts!", Katiba ni zawadi ya JK kwa Watanzania!, jape tulitaka "Katiba Bora", mchakato utatupatia "Bora Katiba!", maadamu ni zawadi!, mtu hujagui zawadi!, unapokea ulicholetewa!.
Pasco.

Pasco;

Kwa mara ya kwanza nimekusoma vizuri. Mmoja wetu amesema hapo juu, ni nguvu ya umma itakayo hamua si bunge la katiba tena.

Nitakuwa upande wa nguvu ya umma hata kuwaadabisha wajumbe wenye mawazo mgando, uchumia tumbo na uchama. Hii nchi ni yetu sote si ya ccm au cdm.
 
Mkuu Mwiba, pole sana!, kumbe na wewe huwezi kusoma trend?!. Ushindi wa CCM kwenye bunge la katiba, ni turufu yao ya idadi!, uamuzi kuhusu kura ya siri au ya wazi kuamuliwa kwa kura, then its obvious CCM ndio watashinda, maamuzi juu ya serikali mbili au tatu, ysatapitishwa kwa kura ya wazi!, serikali ni mbili, tende kwenye mengine!.
Pasco

wanaogopa nini??? si wapige kura ya siri kuamua ni aina gani ya kura itumike????
Mi nawashauri wawakilishi wengine wasio maccm wakiona huu upuuz wa kiccm unaendekezwa wajitoe bunge la katiba tuone kama miccm inaweza kutunga katiba yenyewe!!!
 
Back
Top Bottom