johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu mkuu wa Chadema baada ya Kuuawa Kwa Ali Mohamed Kibao alikuwa anahitajika Polisi kutoa maelezo lakini yeye akaenda kujificha Kanisani Msimbazi center
Leo Makamu Wenyeviti wa Chadema mh Tundu Lisu anesema Yeye na mwenyekiti wake mh Freeman Mbowe Kwa Siku 3 walikuwa Kanisani Msimbazi center wakisuluhishwa na shahidi ni Katibu mkuu Mseminari J J Mnyika
Ndio tunajiuliza Chadema ni Chama Cha Kikanisa au Ikoje?
Kwako Malaria 2 na Lucas Mwashambwa 😂🔥
Leo Makamu Wenyeviti wa Chadema mh Tundu Lisu anesema Yeye na mwenyekiti wake mh Freeman Mbowe Kwa Siku 3 walikuwa Kanisani Msimbazi center wakisuluhishwa na shahidi ni Katibu mkuu Mseminari J J Mnyika
Ndio tunajiuliza Chadema ni Chama Cha Kikanisa au Ikoje?
Kwako Malaria 2 na Lucas Mwashambwa 😂🔥