ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Huku duniani kuna mifumo mingi sana ya kuondoa tawala yoyote ile madarakani,Baadhi ya njia hizo ni halalai na nyingine ni haramu.
Katika kutafuta haki unaweza kuamua kutumia njia halali au kuamua kutumia njia haramu yote inategemea tu na malengo yako kisiasa.
Je, ni kweli Chadema wamesihiwa kabisa na mikakati mpaka wameamua sasa kususa?Wamewachoka watanzania?Ni waoga?Hawana pesa?Hawana nguvu,Hawana watu? Wameshindwa kabisa kutafuta njia mbadala ya kuleta mabadiliko katika nchi hii?
Je, Chadema nao wanalo tatizo la Ombwe la uongozi?Je wanafanya maamuzi kwa mihemuko?Je Chadema impeoteza ushwawishi hapa Tanzania?Je ina maana kwamba sasa watanzania watafute chama mbadala?Je watanzania waamue kutumia mbinu mbadala ili kupata haki wanayoitaka?
Nani aliwaambia Chadema kwamba kususia uchaguzi ni suluhu?
Binafsi ninachokiona ni kwamba chama kimeshindwa kabisa kufanya organaizesheni kuhakikisha kwamba kila kitu kinakwenda swa na badala yake kinaishi kulia kwamba wanachezewa rafu.
Chadema pamoja na viongozi wote,mnajua kwamba mnachezewa rafu kwa nini na nyie hamchezi rafu?Mnajua kwamba CCM wanawachezea shere kwa nini na nyie msiwachezee shere?Kama hamjui kucheza rafu basi acheni kulia lia kwani ni UMAMA
Kususa kwenu kuna wapa CCM fursa ya kuendelela kuwashikia chini mpaka ikifika 2020 mtajikuta mko hoi hata raundi ya kwanza mtashindwa.
WITO WANGU NI HUU;
KAMATI KUU YA CHADEMA ITENGUA UENYEKITI WA MBOWE ILETE DAMU MPYA KOROFI NA ISIYOJALI AMBAYO ITAWAJIBIKA KATIKA KUIVUSHA CHADEMA ISIJE KUFA KAMA KIBUDU
Nimemaliza kama unacho cha kuchangia karibu kama huna soma halafu upite hivi
Katika kutafuta haki unaweza kuamua kutumia njia halali au kuamua kutumia njia haramu yote inategemea tu na malengo yako kisiasa.
Je, ni kweli Chadema wamesihiwa kabisa na mikakati mpaka wameamua sasa kususa?Wamewachoka watanzania?Ni waoga?Hawana pesa?Hawana nguvu,Hawana watu? Wameshindwa kabisa kutafuta njia mbadala ya kuleta mabadiliko katika nchi hii?
Je, Chadema nao wanalo tatizo la Ombwe la uongozi?Je wanafanya maamuzi kwa mihemuko?Je Chadema impeoteza ushwawishi hapa Tanzania?Je ina maana kwamba sasa watanzania watafute chama mbadala?Je watanzania waamue kutumia mbinu mbadala ili kupata haki wanayoitaka?
Nani aliwaambia Chadema kwamba kususia uchaguzi ni suluhu?
Binafsi ninachokiona ni kwamba chama kimeshindwa kabisa kufanya organaizesheni kuhakikisha kwamba kila kitu kinakwenda swa na badala yake kinaishi kulia kwamba wanachezewa rafu.
Chadema pamoja na viongozi wote,mnajua kwamba mnachezewa rafu kwa nini na nyie hamchezi rafu?Mnajua kwamba CCM wanawachezea shere kwa nini na nyie msiwachezee shere?Kama hamjui kucheza rafu basi acheni kulia lia kwani ni UMAMA
Kususa kwenu kuna wapa CCM fursa ya kuendelela kuwashikia chini mpaka ikifika 2020 mtajikuta mko hoi hata raundi ya kwanza mtashindwa.
WITO WANGU NI HUU;
KAMATI KUU YA CHADEMA ITENGUA UENYEKITI WA MBOWE ILETE DAMU MPYA KOROFI NA ISIYOJALI AMBAYO ITAWAJIBIKA KATIKA KUIVUSHA CHADEMA ISIJE KUFA KAMA KIBUDU
Nimemaliza kama unacho cha kuchangia karibu kama huna soma halafu upite hivi