Je, CHADEMA wataahirisha maandamano kufuatia kifo cha Edward Lowassa?

Je, CHADEMA wataahirisha maandamano kufuatia kifo cha Edward Lowassa?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Inajulikana kwamba Edward samefarika akiwa kada wa CCM, lakini 2015 alikuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA.

Je, CHADEMA watampa heshima stahiki kwa kuahirisha maandamano?
 
Back
Top Bottom