Je, Chadema ya Tundu Lissu ni imara Kwa ujasiri?

Je, Chadema ya Tundu Lissu ni imara Kwa ujasiri?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ujasiri ni Kitu kilichoumbwa ndani ya mtu mmoja mmoja Lakini Watu hao wakitambuana na kuunda kikundi ndio huwa kama Chama Cha siasa.

Kwa Sasa pale Chadema naona wale Wanachama Jasiri wote wako upande wa Tundu Lisu huku lile Kundi la Waoga Waoga likiwa limesusa na kuanzisha kampeni ya kumkejeli Lisu kama wafanyavyo akina Mahmoud Abbas

Ndio nauliza Chadema Wanaweza kuwa Jasiri kama vile Vidume Vya Hamas vilivyomnyoosha king'ang'anizi wa Madaraka General Benjamin Netanyahu?

Jumapili Njema
 
Back
Top Bottom