Je, chakula kilichowekewa hamira kina madhara gani? Je, Mama ntilie wanatumia?

Je, chakula kilichowekewa hamira kina madhara gani? Je, Mama ntilie wanatumia?

Joined
May 21, 2023
Posts
77
Reaction score
73
Mara Nyingi Niwapo Kwenye Shughuli Zangu Za Kutafuta Riziki Lazma Nitumie Chakula cha Mama Ntilie Alie Karibu na Kazi Yangu!

Au Naweza Agiza Mtandaoni Pia !

Sijawai Pata Elimu Nzuri Kuhusu Amira!

Huwa Nasikia tu Watu Wakisema Amira sio nzuri lakini hawatoi Maelezo!

So huwa nikitumia Vyakula vya Mgahawani nakua na hofu tu muda wote!

Naomba Kujua Wana JF ! Ina MADHARA GANI? NA JE KWA WANAOFAHAMU KUHUSU STORY ZA HAWA MAMA NTILIE HUWA WANATUMIA?
 
Sidhani kama Ina madhara kwani baadhi ya vyakula inawekwa ni lazima kulingana na pishi husika ila kilakitu kikizid Huwa sio kizuri Kwa afya
 
Nilishuhudia mama ntilie anapika ugali, wali na pilau.... katika sufuria tofauti... Vikikaribia kuiva anafunika kwa juu na mifuko ya plastic Ile ya transparent iliyopigwa marufuku.... Madhara yake sijui Ni yapi....!!!!
 
Nilishuhudia mama ntilie anapika ugali, wali na pilau.... katika sufuria tofauti... Vikikaribia kuiva anafunika kwa juu na mifuko ya plastic Ile ya transparent iliyopigwa marufuku.... Madhara yake sijui Ni yapi....!!!!
Nami nilisikia Ina madhara japo sijafatilia now watu wamebadili kidogo wanatumia foil
Lkin mifuko hiyo mbona ndo inawekwa sukar kwenye viroba,chumvi lazima uikute Kwa ndani na hata sabuni lazima iwepo kikubwa uzima😀
 
Back
Top Bottom