#COVID19 Je, chanjo ya Covid 19 ni lazima?

#COVID19 Je, chanjo ya Covid 19 ni lazima?

Pics

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
240
Reaction score
181
Kuna sitofahamu inaendelea wilaya ya Tunduru-Ruvuma. Akina mama wakiwapeleka watoto kliniki wanazuiwa kupewa kadi za kliniki mpaka wachanjwe wanapata usumbufu kupata huduma za msingi.

Hapa Tunduru hatuna rekodi ya yoyote vifo vya korona toka ilipotokea huko Uchina Wuhan.

Wanajamiiforums chanjo hii ni mandatory?

Kuna tamko lolote
 
Kuna sitofahamu inaendelea wilaya ya Tunduru-Ruvuma. Akina mama wakiwapeleka watoto kliniki wanazuiwa kupewa kadi za kliniki mpaka wachanjwe wanapata usumbufu kupata huduma za msingi.

Hapa Tunduru hatuna rekodi ya yoyote vifo vya korona toka ilipotokea huko Uchina Wuhan.

Wanajamiiforums chanjo hii ni mandatory?

Kuna tamko lolote
Ni kama vile kuna watu wanalipwa kamisheni kwa hiyo kazi
 
Chanjo siyo lazima kama upo hapa hapa nchini na hao manesi kama wanalazimisha kuchoma watu chanjo basi hawafai kuwepo kazini, wapewe nafasi nyingine wakalime.

But chanjo inakuwa lazima endapo unatika nje ya nchi kwenda ughaibuni yaani hapo ni lazima utake usitake, labda ununue kile kikaratasi.
 
Sio lazima but its a right ✅ thing to do, Pata jab ili tutokomeze covid 19
 
Nashauri wategeeni mtego WAREKODIWE maongezi Yao, Hilo jambo hutalisikia tena.
 
Chanjeni acheni woga. Bila ya chanjo mnaweza kutuletea variant mpya ya Corona.
 
Back
Top Bottom