Camp nou kule mbeleko kibao,rejea mechi ya PSG.Hii Barca ni ya kawaida sana.Siyo team ya kutisha kama unavyoichukulia,Ikipangwa na team zinazojielewa hata 4 inapigwa kirahisi sana.Umeona ee. Na bado camp nou mtaisoma,,
Mkuu namuona lewandowski kwenye avatar yako.jana amekuwa man of the match.Leo imetimia wakuu
Camp nou kule mbeleko kibao,rejea mechi ya PSG.Hii Barca ni ya kawaida sana.Siyo team ya kutisha kama unavyoichukulia,Ikipangwa na team zinazojielewa hata 4 inapigwa kirahisi sana.
Sijui ndo ulichotabir?Haje=aje Chelsea hii kila mchezaji atatoka na furushi la goli 2 so mtanyeshewa mvua ya magoli
PSG zile 6 za kubebwa?,Goli halali pale zilikuwa 3 tu,zingine zote mbeleko.Kujiangusha,kulalamika na kuomba fouls zote hizo ni tabia zenu hasa mkiwa camp nou.Ndo maana kule Italy na France mlikula bao mingi tu.Messi hakuna mwenye shida naye hapa,wewe ndo hujiamini ndo maana unamtaja hata pasipohusika.Hapa tunaongelea Barcelona as a team.Tim inayojielewa kama ipi??
Madrid tumempia mara kibao, Psg tumempiga 6 kama unakumbuka, Arsenal, man city, Man u wote hao tumepiga. Sasa tim gani inayojielewa!! Mbao fc? Yanga or simba?
Tatizo lenu mkiona messi kafunga hampendi, kufunga ni kawaida sana kwa messi. Asipofunga anatengeneza na kutoa assist.
KabisaUCL is back again, na kama wewe ni mmoja wa mashabiki damu wa Chelsea, utakua unajua fixture iliyopo mbele yetu na jinsi timu ambavyo imekua na perfomance ya kuyumba kidogo hapo nyuma, Je kwa ushindi dhidi ya westbrom unaweza ongeza confidence na hamasa kuelekea game ya Barcelona? Na Conte haje na mbinu gani za kuwadhibiti wale jamaa[emoji838][emoji838][emoji838]
Hahahaha we umechemkaHahaha mtulie tu mkamilishe ratiba basi, unafikir mtafanyaje mbele ya Barcelona
Inayojielewa kama ipi sasa ambayo haijapokea kichapo kwa baselona hata Mara mojaCamp nou kule mbeleko kibao,rejea mechi ya PSG.Hii Barca ni ya kawaida sana.Siyo team ya kutisha kama unavyoichukulia,Ikipangwa na team zinazojielewa hata 4 inapigwa kirahisi sana.
Kwahiyo chesii mtamtoa Baka?Hahahaha we umechemka
UCL is back again, na kama wewe ni mmoja wa mashabiki damu wa Chelsea, utakua unajua fixture iliyopo mbele yetu na jinsi timu ambavyo imekua na perfomance ya kuyumba kidogo hapo nyuma, Je kwa ushindi dhidi ya westbrom unaweza ongeza confidence na hamasa kuelekea game ya Barcelona? Na Conte haje na mbinu gani za kuwadhibiti wale jamaa[emoji838][emoji838][emoji838]
Inayojielewa kama ipi sasa ambayo haijapokea kichapo kwa baselona hata Mara moja
Chelsea mjikaze tu this time
Kama mlishindwa juzi ndio mtaweza camp nou
PSG zile 6 za kubebwa?,Goli halali pale zilikuwa 3 tu,zingine zote mbeleko.Kujiangusha,kulalamika na kuomba fouls zote hizo ni tabia zenu hasa mkiwa camp nou.Ndo maana kule Italy na France mlikula bao mingi tu.Messi hakuna mwenye shida naye hapa,wewe ndo hujiamini ndo maana unamtaja hata pasipohusika.Hapa tunaongelea Barcelona as a team.
Kule mnaenda kupaki basi
Barcelona wanafungika tu. Tukienda Camp Nou, Conte anapaswa kuwa brave kidogo na kuweka Striker mmoja (Giroud) japo back three ya Barca iwe checked na wasipande pande hovyo kuja kwetu. A 4-5-1 formation will do. And no Bakayoko please!