Violet Nkata
Member
- Jun 3, 2021
- 12
- 2
Je, kubadili na kusomea clinical medicine katika chuo hko hko nilichopangiwa na serikali inawezekana?Diploma ya ukatibu afya haina dili kwa ufaulu wako mara mia hata ukabadilishe usome Pharmaceutical Science au Nursing and Midwifery.
Asnte mkuu,,,Kijana hyo course kasome ndio kipaumbele cha serkali ka sasa kuwa na hao watu kwa ajili ya mifumo ambayo imefungwa hasa makusanyo. Nilikua nafahamu chuo kimja kinatoa kumbe na huko. Haijaanza hata miaka 2 haina na wataalamu kama ww ukimalza ajira inakufuata mwenyewe sio ww uifuate ajira.
Aiseee kubadili ni ngumu sana hasa kwa hizo post za moja kwa moja. Health Information system kweny afya ndo Scale ya chiniJe, kubadili na kusomea clinical medicine katika chuo hko hko nilichopangiwa na serikali inawezekana?
DuuuuhAiseee kubadili ni ngumu sana hasa kwa hizo post za moja kwa moja. Health Information system kweny afya ndo Scale ya chini
Mkuu mbn naambiwa hii course haina sokoo yaan hata sielew kwa kwl nahc kuchanganyikiwaKijana hyo course kasome ndio kipaumbele cha serkali ka sasa kuwa na hao watu kwa ajili ya mifumo ambayo imefungwa hasa makusanyo. Nilikua nafahamu chuo kimja kinatoa kumbe na huko. Haijaanza hata miaka 2 haina na wataalamu kama ww ukimalza ajira inakufuata mwenyewe sio ww uifuate ajira.
Kuepuka majuto mbeleni nenda kasome clinical medicineHabar wapendwa,
Wakuu nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu hii course ya health information science kuwa ina husu nn na je n nzuri. Nmemaliza kidato Cha nne mwaka jana nmefaulu kwa divsn 1 ya 12 na nmepangiwa chuo Cha afya mtwara kusomea course ya health information science asa mnanishauri nifanye nn juu ya hii course kwamba niisome au nibadilishe.
Naombeni ushauri wenu
Kwa hyo itabd niapply chuo kngne tnaa😓Kuepuka majuto mbeleni nenda kasome clinical medicine
Kwa kifupi hiyo kozi ni kama IT ya afya. Kama unapenda mambo ya IT kasome ila kama wadau walivyo shauri kwa nchi zetu hizi medicine, phamacy atleast na nursing ndio zinakimbiza. Ila kwa sababu umechaguliwa na kama haifai kubadili komaa nayo. Cha msingi jitahidi uwe bora na ujue vitu.Naombeni msaada wa maelezo juu hii coz tafadhali[emoji29]
Hii course haikuwa ndoto yanguu kabisaaKwa kifupi hiyo kozi ni kama IT ya afya. Kama unapenda mambo ya IT kasome ila kama wadau walivyo shauri kwa nchi zetu hizi medicine, phamacy atleast na nursing ndio zinakimbiza. Ila kwa sababu umechaguliwa na kama haifai kubadili komaa nayo. Cha msingi jitahidi uwe bora na ujue vitu.
Sasa ilikuaje ukaijaza?Hii course haikuwa ndoto yanguu kabisaa
Ckuijaza hii course mm nimechaguliwa na serikaliiSasa ilikuaje ukaijaza?
Sidhani kama unaweza pangiwa kozi ambayo hujaichagua, ila kwa sababu umesema umechaguliwa basi Options ulizo nazo ni hizi.Ckuijaza hii course mm nimechaguliwa na serikalii
Serikali inapanga tu hata uwe ujachagua umechaguaSidhani kama unaweza pangiwa kozi ambayo hujaichagua, ila kwa sababu umesema umechaguliwa basi Options ulizo nazo ni hizi.
1. Kubali yaishe uisome.
2. Fika chuo badilisha usome kozi uliyokua unaitaka.
3. Kama 1 na 2 haziwezekani, airisha mwaka uombe mwakani tena chuo.
3. Kama 1 na 2 haziwezekani, achana na chuo ulichopangiwa then apply vyuo vya private mwaka huu huu ili usome kozi unayo ipenda (kama application zipo wazi).
4. Kama 1 na 2 haziwezekani, kwasababu una ufaulu mzuri then mwaka huu huu apply shule za private uanze form5 ili usome PCB... then ukimaliza form6 na ukipata 1 au 2 uombe degree ya MD.
Chagua inayo kufaa, kila la heri.
NB: unless 'ujifunze kuipenda' ila kama ukisoma kozi usiyoipenda alafu uje ufanye kazi usiyo ipenda utapata 'frastresheni' (kama hujui maana 'frastresheni' google) alafu uanze kuilaumu serikali kukupangia kozi usiyo ipenda.
Aisee, basi kama hapendi akabadilishe..Serikali inapanga tu hata uwe ujachagua umechagua
Kuna mdogo wangu nilimuombea vyuo vya Engineering pale DIT na MUST, cha ajabu amepelekwa kusoma Accountancy CBE mwanza campus.
Habar wapendwa,
Wakuu nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu hii course ya health information science kuwa ina husu nn na je n nzuri. Nmemaliza kidato Cha nne mwaka jana nmefaulu kwa divsn 1 ya 12 na nmepangiwa chuo Cha afya mtwara kusomea course ya health information science asa mnanishauri nifanye nn juu ya hii course kwamba niisome au nibadilishe.
Naombeni ushauri wenu