Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ee bhana ee yule dada yetu wa taifa komando machozi jide mwenyewe kanishukia kama mwewe huko inster
Mimi nilimuuliza swali ambalo liko fresh tu wala sikuona ubaya wake lakin jide alichonijibu aisee sitahau
Ni mara nyingi sana nimekuwa nikimuona akijibizana na watu hovyo hovyo mimi nikajua itakuwa wanamzingua jide wangu watu hawa, kumbe yeye ndo anazingua sijajua kwanini amekuwa mkali kias hicho
Iv dada jide una mimba nini? Mbona uko mkali sana siku hiz?
Umekuwaje komando wetu?
Wadau na wana saikolojia mbali mbali naomba kujua huyu dada yetu anasumbuliwa na nini mbona kawa mkali kias hicho
BOY FROM LONDON
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ee bhana ee yule dada yetu wa taifa komando machozi jide mwenyewe kanishukia kama mwewe huko inster
Mimi nilimuuliza swali ambalo liko fresh tu wala sikuona ubaya wake lakin jide alichonijibu aisee sitahau
Ni mara nyingi sana nimekuwa nikimuona akijibizana na watu hovyo hovyo mimi nikajua itakuwa wanamzingua jide wangu watu hawa, kumbe yeye ndo anazingua sijajua kwanini amekuwa mkali kias hicho
Iv dada jide una mimba nini? Mbona uko mkali sana siku hiz?
Umekuwaje komando wetu?
Wadau na wana saikolojia mbali mbali naomba kujua huyu dada yetu anasumbuliwa na nini mbona kawa mkali kias hicho
BOY FROM LONDON