Wakuu bila shaka hamjambo, naomba kujua hivi dawa ya misoprostol isipofanya kazi baada ya kuitumia, ni muda gani unatakiwa kupita ndio urudie kumeza? wife kameza haijafanya kazi , ujauzito ni wa wiki tatu na siku kadhaa.msaada tafadhali
Weweee wameipunguza nguvu sikuhizi [emoji23][emoji23][emoji23] bora achome kwinini tu itatoka au aende kwa daktari wamchome sindano ya kupunguza hormone mimba isikue itoke