MC Chere JF-Expert Member Joined Jun 29, 2015 Posts 586 Reaction score 400 Feb 8, 2016 #1 Ni katika mijadala ya bush lawyers,ni kwamba dhamana ya mali zisizohamishika hurudishwa endapo hukumu imeshatolewa na kama uliambiwa dhamana ni fedha,basi fedha hairudishwi,je hapa pakoje wataalamu? mtutoe tongotongo tafadhali.
Ni katika mijadala ya bush lawyers,ni kwamba dhamana ya mali zisizohamishika hurudishwa endapo hukumu imeshatolewa na kama uliambiwa dhamana ni fedha,basi fedha hairudishwi,je hapa pakoje wataalamu? mtutoe tongotongo tafadhali.
Bettydarace Member Joined Dec 28, 2015 Posts 10 Reaction score 2 Feb 9, 2016 #2 Kama amehudhuria kesi mpaka mwsho vzr dhamana yake inarudishwa mahakama huwa haibaki na pesa hiyo