Je Diamond, Babu Tale na Burna Boy wanaweza kuitwa kutoa ushahidi kwenye kesi ya P Diddy?

Je Diamond, Babu Tale na Burna Boy wanaweza kuitwa kutoa ushahidi kwenye kesi ya P Diddy?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mzee wa mafuta ya upako P.Diddy katika kesi yake inayoendelea. Je kuna uwezekano wa watu hawa kuitwa either kumtetea au kumkandamiza?
1. Diamond anasema walifanya yao ambayo hawezi yaweka in public je anaweza itwa chini ya kiapo akajielezea walichofanya?

2. Babu Tale Mbunge huyu naye anasema waliingia room kwa P.Diddy akiwa anafanyiwa massage. Huku anavuta jani kavu. Akamtizama Diamond namna flani. Kisha akamwambia aliyekuwa anamfanyia massage aondoke wabaki wao.

3. Burna Boy sina cha kuelezea zaidi. Alikuwa karibu sana na P.Diddy.


Hawa walikuwa jamaa zake wa karibu sana. Je P.Diddy anaweza kuwaita kama mashahidi upande wake?kuonesha kuwa yeye hana baya. Na amewasaidia wengi kiuchumi akiwepo Diamond ambaye nadhani ndo kipindi hicho hicho aliweza kurudi na Rose Royce?


RAFIKI WA KWELI NI RAFIKI WAKATI WA SHIDA.
 
Burna Boy sina cha kuelezea zaidi.
1000223144.jpg
 
Babu Tale ndio alienda kupewa masharti ya kuwa mbunge huko mke wake mungu amfanyie wepesi hko alipo.
 
Kwahiyo Mbunge wetu na Simba wetu wote hawana marinda?

Waligoma kuendelea kuukalia uchumi huku wakibaki masikini? 😆🤣🤣
 
Babu Tale ndio alienda kupewa masharti ya kuwa mbunge huko mke wake mungu amfanyie wepesi hko alipo.
Duh ...hii point niko sijaifikiria kama inakuja [emoji15][emoji15]....Au ngoja nikae kimya
 
Mzee wa mafuta ya upako P.Diddy katika kesi yake inayoendelea. Je kuna uwezekano wa watu hawa kuitwa either kumtetea au kumkandamiza?
1. Diamond anasema walifanya yao ambayo hawezi yaweka in public je anaweza itwa chini ya kiapo akajielezea walichofanya?

2. Babu Tale Mbunge huyu naye anasema waliingia room kwa P.Diddy akiwa anafanyiwa massage. Huku anavuta jani kavu. Akamtizama Diamond namna flani. Kisha akamwambia aliyekuwa anamfanyia massage aondoke wabaki wao.

3. Burna Boy sina cha kuelezea zaidi. Alikuwa karibu sana na P.Diddy.


Hawa walikuwa jamaa zake wa karibu sana. Je P.Diddy anaweza kuwaita kama mashahidi upande wake?kuonesha kuwa yeye hana baya. Na amewasaidia wengi kiuchumi akiwepo Diamond ambaye nadhani ndo kipindi hicho hicho aliweza kurudi na Rose Royce?


RAFIKI WA KWELI NI RAFIKI WAKATI WA SHIDA.
Hawataitwa kutoa ushahidi, ila kama video zitaonyesha ushiriki wao kama walivyosema kuwa kuna mambo waliyafanya ambayo si ya ku post mitandaoni, basi from now and on wakienda Ubalozini kuomba Visa watakutana na ban ya kuingia US kwa kitendo cha kualikwa na kwenda kushiriki zile parties za ngono huku wakijua.

Kama wasingejua au wangefungua malalamiko, hiyo ingewabeba wangekuwa treated kama victims na ofcourse wangeitwa kama mashahidi.
 
Duh ...hii point niko sijaifikiria kama inakuja [emoji15][emoji15]....Au ngoja nikae kimya
Kiukweli niliwahi kuifikiria kitambo baada ya mke wake kuiaga Dunia ila sikuwahi kuiunganisha na ya Mpaka mafuta (Didy)...ila ni fikra tuu na itabaki fikra ya kibinadamu.
 
Mzee wa mafuta ya upako P.Diddy katika kesi yake inayoendelea. Je kuna uwezekano wa watu hawa kuitwa either kumtetea au kumkandamiza?
1. Diamond anasema walifanya yao ambayo hawezi yaweka in public je anaweza itwa chini ya kiapo akajielezea walichofanya?

2. Babu Tale Mbunge huyu naye anasema waliingia room kwa P.Diddy akiwa anafanyiwa massage. Huku anavuta jani kavu. Akamtizama Diamond namna flani. Kisha akamwambia aliyekuwa anamfanyia massage aondoke wabaki wao.

3. Burna Boy sina cha kuelezea zaidi. Alikuwa karibu sana na P.Diddy.


Hawa walikuwa jamaa zake wa karibu sana. Je P.Diddy anaweza kuwaita kama mashahidi upande wake?kuonesha kuwa yeye hana baya. Na amewasaidia wengi kiuchumi akiwepo Diamond ambaye nadhani ndo kipindi hicho hicho aliweza kurudi na Rose Royce?


RAFIKI WA KWELI NI RAFIKI WAKATI WA SHIDA.
Waswahili hatuna desturi kusema ukweli. Uongo, kuficha na usiri ndio sifa njema
 
Mzee wa mafuta ya upako P.Diddy katika kesi yake inayoendelea. Je kuna uwezekano wa watu hawa kuitwa either kumtetea au kumkandamiza?
1. Diamond anasema walifanya yao ambayo hawezi yaweka in public je anaweza itwa chini ya kiapo akajielezea walichofanya?

2. Babu Tale Mbunge huyu naye anasema waliingia room kwa P.Diddy akiwa anafanyiwa massage. Huku anavuta jani kavu. Akamtizama Diamond namna flani. Kisha akamwambia aliyekuwa anamfanyia massage aondoke wabaki wao.

3. Burna Boy sina cha kuelezea zaidi. Alikuwa karibu sana na P.Diddy.


Hawa walikuwa jamaa zake wa karibu sana. Je P.Diddy anaweza kuwaita kama mashahidi upande wake?kuonesha kuwa yeye hana baya. Na amewasaidia wengi kiuchumi akiwepo Diamond ambaye nadhani ndo kipindi hicho hicho aliweza kurudi na Rose Royce?


RAFIKI WA KWELI NI RAFIKI WAKATI WA SHIDA.
 
Mzee wa mafuta ya upako P.Diddy katika kesi yake inayoendelea. Je kuna uwezekano wa watu hawa kuitwa either kumtetea au kumkandamiza?
1. Diamond anasema walifanya yao ambayo hawezi yaweka in public je anaweza itwa chini ya kiapo akajielezea walichofanya?

2. Babu Tale Mbunge huyu naye anasema waliingia room kwa P.Diddy akiwa anafanyiwa massage. Huku anavuta jani kavu. Akamtizama Diamond namna flani. Kisha akamwambia aliyekuwa anamfanyia massage aondoke wabaki wao.

3. Burna Boy sina cha kuelezea zaidi. Alikuwa karibu sana na P.Diddy.


Hawa walikuwa jamaa zake wa karibu sana. Je P.Diddy anaweza kuwaita kama mashahidi upande wake?kuonesha kuwa yeye hana baya. Na amewasaidia wengi kiuchumi akiwepo Diamond ambaye nadhani ndo kipindi hicho hicho aliweza kurudi na Rose Royce?


RAFIKI WA KWELI NI RAFIKI WAKATI WA SHIDA.
Wapakwa mafuta hao wote.
 
Back
Top Bottom