third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
👉WAISLAMU 🕌husema UKRISTO ni DINI ya UONGO✔️
👉WAKRISTO ⛪husema UISLAMU ni DINI ya UONGO.✔️
SASA MIMI NAKUBALIANA NA WOTE KWAMBA UISLAMU🕌 na UKRISTO⛪ Ni DINI za UONGO✅
Watu wengi ukiwauliza Swali Kwamba Ebu nielezee MUNGU ni kitu gani, yukoje, anafanya nn❓ Halafu mwambie asiishirikishe Biblia ama Quran , nakwambia kwa hakika hatokuwa na Jibu lolote kwasababu kakuzwa tayari akiwa kwenye mfumo wa Vitabu 📚hivi viwili vyenye chimbuko moja Yani Dola ya Kirumi(Roman Empire) hivyo Hana anachokijua Kwa sababu Hajawahi kutumia Akili yake Bali kakaririshwa Tena kupitia vitisho n. K
Akianza kukujibu , ooh! unajua Mungu alisema, sijui Mungu hapo mwanzo alifanya hivi na vile , mwambie bado unanukuu maandiko , mwambie nataka unijibu Nje ya Vitabu vya Mzungu na Mwarabu(biblia na Msahafu) ,kwa hakika kitakachofuata ni Kigugumizi😁... Fanya simple research (utafiti mdogo)utashuhudia mwenyewe hapo mtaani, kazini , shuleni kwenu n. K
DINI ya kweli ni ASILI YAKO(nature)
kanisa/msikiti wako wa kweli ni HII DUNIA 🌍
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
👉WAKRISTO ⛪husema UISLAMU ni DINI ya UONGO.✔️
SASA MIMI NAKUBALIANA NA WOTE KWAMBA UISLAMU🕌 na UKRISTO⛪ Ni DINI za UONGO✅
Watu wengi ukiwauliza Swali Kwamba Ebu nielezee MUNGU ni kitu gani, yukoje, anafanya nn❓ Halafu mwambie asiishirikishe Biblia ama Quran , nakwambia kwa hakika hatokuwa na Jibu lolote kwasababu kakuzwa tayari akiwa kwenye mfumo wa Vitabu 📚hivi viwili vyenye chimbuko moja Yani Dola ya Kirumi(Roman Empire) hivyo Hana anachokijua Kwa sababu Hajawahi kutumia Akili yake Bali kakaririshwa Tena kupitia vitisho n. K
Akianza kukujibu , ooh! unajua Mungu alisema, sijui Mungu hapo mwanzo alifanya hivi na vile , mwambie bado unanukuu maandiko , mwambie nataka unijibu Nje ya Vitabu vya Mzungu na Mwarabu(biblia na Msahafu) ,kwa hakika kitakachofuata ni Kigugumizi😁... Fanya simple research (utafiti mdogo)utashuhudia mwenyewe hapo mtaani, kazini , shuleni kwenu n. K
DINI ya kweli ni ASILI YAKO(nature)
kanisa/msikiti wako wa kweli ni HII DUNIA 🌍
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏