Je, Diwani kwenye kata yako anatimiza wajibu wake?

Je, Diwani kwenye kata yako anatimiza wajibu wake?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210316_155344_307.jpg


Kuhamasisha wananchi kuhusu vita dhidi ya umaskini ni moja kati ya wajibu wa Diwani.

Katika kulitekeleza hili ni lazima ajue kwa ufasaha hali ya kiuchumi na kijamii inayowakabili wananchi wake na kushirikiana nao ili kupanga mipango endelevu ya kujikwamua.

Vile vile ana wajibu wa kufuatilia utekelezaji wa mipango yote ya wananchi na ya Halmashauri.

Ili kutimiza jukumu hili ipasavyo, Diwani anatakiwa kufuatilia utekelezaji wa miradi yote ndani ya Kata yake ambalo ni jimbo lake la uchaguzi bila kudai malipo yoyote toka kwenye Halmashauri au wadau wengine. Kimsingi hii ndiyo kazi ambayo Diwani aliahidi kuitekeleza wakati wa kampeni.
 
Upvote 0
View attachment 1727178

Kuhamasisha wananchi kuhusu vita dhidi ya umaskini ni moja kati ya wajibu wa Diwani.

Katika kulitekeleza hili ni lazima ajue kwa ufasaha hali ya kiuchumi na kijamii inayowakabili wananchi wake na kushirikiana nao ili kupanga mipango endelevu ya kujikwamua.

Vile vile ana wajibu wa kufuatilia utekelezaji wa mipango yote ya wananchi na ya Halmashauri.

Ili kutimiza jukumu hili ipasavyo, Diwani anatakiwa kufuatilia utekelezaji wa miradi yote ndani ya Kata yake ambalo ni jimbo lake la uchaguzi bila kudai malipo yoyote toka kwenye Halmashauri au wadau wengine. Kimsingi hii ndiyo kazi ambayo Diwani aliahidi kuitekeleza wakati wa kampeni.
👍✌
 
Nilijua mh Diwani wa TAKUKURU, kumbe ni hawa Madiwani wetu huku kitaa. Wapewe Mi5 tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom