Kenya 2022 Je DP Ruto Kumpendekeza Rigathi G Kuwa Running Mate Wake?

Kenya 2022 Je DP Ruto Kumpendekeza Rigathi G Kuwa Running Mate Wake?

Kenya 2022 General Election

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Rigathi amejitoa sana kwa Ruto,
.
Amepitia mengi,
.
Pia Ana uwezo mkubwa wa kuzungumza, kumobilise, uzoefu, anaijua nchi na namna ya uendeshaji wa Serikali.
.
Ana uwezo wa kifedha pia hivyo ni faida katika Kampeni , ni Kingpin wa Mt. Kenya kwasasa!
.
He deserves!
.
Kindiki naye ana sifa nyingi.
.
Sifa kubwa zaidi kwake ni Wisdom, Intellectuality na hana maadui ukilinganisha na Rigathi!
Screenshot_20220514-124225.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bandugu wa KE tunaomba mwongozo. Kenya Kwanza kutaifisha safaricom?

Kenya Kwanza deputy president nominee and Mathira MP Rigathi Gachagua has sparked reactions after suggesting the closure of big companies in Kenya.

Appearing in an interview on Inooro TV, the MP suggested the closure of big corporates such as Safaricom and the money used to fund small businesses.

Gachagua argued that taxes for such small businesses will be more than taxes from Safaricom alone.

“Instead of having giant corporates like Safaricom only paying taxes, you can have such a company's investment and create many smaller companies that will pay taxes
 
 
Back
Top Bottom