Kwa Wadau Wote: Kwa kuwa naamini kuwa inawezekana naweza kuwa nakosea, na kuwa nimesikia au najua kupitia vyanzo mbalimbali kuwa anayejiita "DR" MBWAMBO, ambaye ni Dean wa Mzumbe University Dar Business School, hajamaliza bado PhD yake huko Nairobi University...naombeni uelewa wenu katika hili. Na kama bado, ina maana gani? na Ina picha gani kwa Mzumbe University kwa ujumla? Hili si jungu...ni utafutaji wa ukweli...
Mkereketwa!
Kwa Wadau Wote: Kwa kuwa naamini kuwa inawezekana naweza kuwa nakosea, na kuwa nimesikia au najua kupitia vyanzo mbalimbali kuwa anayejiita "DR" MBWAMBO, ambaye ni Dean wa Mzumbe University Dar Business School, hajamaliza bado PhD yake huko Nairobi University...naombeni uelewa wenu katika hili. Na kama bado, ina maana gani? na Ina picha gani kwa Mzumbe University kwa ujumla? Hili si jungu...ni utafutaji wa ukweli...
Mkereketwa!
Haina mana unaweza ukawa unaona mbali kiasi gani...tatizo ni kuwa huruhusiwi kutumia title ya DR kabla hujamaliza PhD yako. Ikumbukwe kuwa Mbwambo alikuwa full time student wa KU Nairobi; alipomaliza, wakati anasubiri matokeo, akaripoti kwa mwajiri wake na kupangiwa kazi Dar Campus...hii yote akidhani kuwa amefaulu...kilichotokea ni kuwa hajapita bado...sasa kwanini anajiita DR?????....Hii ndio issue...mwiteni ajibu yeye ndo tutamuelewa....
Kwa Wadau Wote: Kwa kuwa naamini kuwa inawezekana naweza kuwa nakosea, na kuwa nimesikia au najua kupitia vyanzo mbalimbali kuwa anayejiita "DR" MBWAMBO, ambaye ni Dean wa Mzumbe University Dar Business School, hajamaliza bado PhD yake huko Nairobi University...naombeni uelewa wenu katika hili. Na kama bado, ina maana gani? na Ina picha gani kwa Mzumbe University kwa ujumla? Hili si jungu...ni utafutaji wa ukweli...
Mkereketwa!
Kama anasoma for PhD, binafsi sina tatizo yeye kujiita Dr so long atamaliza. Wengi wajiita Dr kabla hawajamaliza. Nilimuuliza Mr x, kama atakuwa shule mpaka 2017, hajamaliza PhD?
Wewe ni mkereketwa wa majungu hata procedure za kupata PhD huzijui. Prof. Mbwambo aligraduate PhD mwaka 2005. Na mimi ninaitumia report yake sana kwa ajili ya PhD yangu.
Alafu wewe unaehoji mtu mwenye Advanced Diploma kusoma Masters tumia akili kwa kua Mzumbe si chuo pekee kinachofanya hivyo.
Mimi nimesoma hiyo diploma na sasa na fanya PhD. Kwenye chuo bora kuliko vyote Africa. Utalala na mawazo mgando yako wenzako tunasonga mbele.
Haina mana unaweza ukawa unaona mbali kiasi gani...tatizo ni kuwa huruhusiwi kutumia title ya DR kabla hujamaliza PhD yako. Ikumbukwe kuwa Mbwambo alikuwa full time student wa KU Nairobi; alipomaliza, wakati anasubiri matokeo, akaripoti kwa mwajiri wake na kupangiwa kazi Dar Campus...hii yote akidhani kuwa amefaulu...kilichotokea ni kuwa hajapita bado...sasa kwanini anajiita DR?????....Hii ndio issue...mwiteni ajibu yeye ndo tutamuelewa....
Wewe ni mkereketwa wa majungu hata procedure za kupata PhD huzijui. Prof. Mbwambo aligraduate PhD mwaka 2005. Na mimi ninaitumia report yake sana kwa ajili ya PhD yangu.
Alafu wewe unaehoji mtu mwenye Advanced Diploma kusoma Masters tumia akili kwa kua Mzumbe si chuo pekee kinachofanya hivyo.
Mimi nimesoma hiyo diploma na sasa na fanya PhD. Kwenye chuo bora kuliko vyote Africa. Utalala na mawazo mgando yako wenzako tunasonga mbele.