hakuna uchawi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 661
- 677
Ni kipimo sahihi kabisa
Draft linahitaji akili ya ziada kushinda. Mie nilikuwaga mbabe sana kwenye mchezo wa french. Ila baada ya kufikia 40 siku hizi nafungwa na vitoto maana unacheza huku unawaza je leo natumbuliwa au
[emoji23][emoji23]Baada ya kufungwa kwenye draft na kuambiwa una IQ ndogo naona umekuja kutafuta uhakika huku!
,ππππ π πBaada ya kufungwa kwenye draft na kuambiwa una IQ ndogo naona umekuja kutafuta uhakika huku!