Je, dunia inahama kutoka kutumia TAKUKURU kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye miradi ya Serikali mpaka kuitumia PPP, is this also a New World Order?

We jamaa sidhani hata kama una certificate au NGAO Kutoka pale CBE 😂😂😂😂😂😂
😆😆Kunatofauti kubwa kati ya Uwekezaji na Ubia,

Tofauti mojawapo,

Mwekezaji qnalimiki kila kitu ila anatakiwa kuleta gawio tu baada ya kutangaza faida but Ubia wote kwa pamoja mnakuwepo kwenye operation za siku kwa siku.🙂🙂
 
Hivi upo Serious Mkuu au hii ni Sarcasm.., Hakuna sehemu ya Upigaji kama PPP kuna loopholes za kutosha vilevile kwanini tutumie Kodi za mwananchi kuweka rehani kama PPP ikienda belly Up kwanini Private wasifanye jambo kivyao kuanzia mwanzo mpaka mwisho why partneship ? Mambo ya Huduma Serikali iyafanye fully mengine private wafanye kwenye free market..., kwenye asset zetu tuwape watu lease waendeshe hizi ndoa ni mirija ya watu kujivunia pesa

 
Hofu yako ni Nini hapo?
Mimi nimeelewa hapo kwenye AATCL na TTCL wewe unasemaje?
 
Hofu yako ni Nini hapo?
Yaani mpaka utafuniwe ni kwamba PPPs zinatumika kupiga pesa wala sio kuzuia upigaji wa pesa (Nchi nyingi zimelia sababu ya PPPs na nyingine mpaka kufirisika)

  • Although PPPs are often promoted as a solution for countries under fiscal constraints, the evidence suggests rather that they worsen fiscal problems. According to the EIB, the six countries which have made the greatest use of PPPs in recent years are Cyprus, Greece, Ireland, Portugal, Spain and the UK. Four of these are subject to ‘Troika’ rescue packages, and the other two – Spain and the UK – both face large fiscal problems. In both Portugal and Cyprus, the IMF/EU ‘troika’ packages have identified PPPs as a contributory cause of the countries’ fiscal problems, and required an audit and renegotiation of existing PPPs and a freeze on new PPPs. 11 (see case study) In Latin America, PPPs are also concentrated in very few countries. Brazil and Mexico account for 65 per cent of all PPPs; Colombia, Peru, and Chile account for a further 15 per cent.
  • A further danger is the recent effort by the World Bank,the G20, OECD and others to ‘financialize’ PPPs in order to access the trillions of dollars held by pension funds,insurance companies and other institutional investors.
  • PPPs originated as an accounting trick, a way round the government’s own constraints on public borrowing. This remains the overwhelming attraction for governments and international institutions. Just as companies like Enron had tried to conceal their true liabilities by moving them‘off-balance-sheet’, so governments started using PPPs as “tricks…. whereby public accounts imitate the creative accounting of some companies in the past.”
  • “In developing countries, the development banks and multinational companies encouraged the spread of PPPs in the 1990s, especially in the water and energy sectors, as part of the general promotion of privatisation – and as a way around the fiscal limits which the same IFIs were imposing on developing countries. The main form of privatisation in water was concessions or lease contracts, which are a classic form of PPP.
  • Governments have also started providing subsidies for PPPs, mainly by lending public money at low rates of interest that the private sector could not otherwise obtain – despite the obvious intrinsic contradiction of using public finance to finance PPPs.

Sasa connection ya Anti Corruption na PPPs sijui ni ipi ndio maana nikasema unless this is sarcasm I don't see any connection...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…