Free Country
Senior Member
- Jun 9, 2024
- 116
- 83
Yes ni kweli PPP haigahamikiWafanyakazi waijue PPP
Hapa nakazia tenaTatizo la huyo Ndg yenu sio raia wa Tanzania japo kazi anafanya zinaonekana
Eti kafulila naye mzalenda yaani malaya wa kisiasa siku hizi ndio wazalendo. Mtu aliye hama Nccr akaenda ACT wazalendo akaona atasahaulika mapema.ikabidi aende chadema ili aonekane , mara tu ya kuanza kuonekana akajiuuza ccm sasa anakula kwa urefu wakaba yake eti huo ndio uzalendo.Dunia iko Kasi sana.
Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.
Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.
Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,
Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,
Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.
Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.
Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.
My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.
Take Five🤛🏿
Leo umeongea pointi sanaTuupe nguvu ubia
Sasa huyo Mbowe anayefia madarakani ndio uzalendo?Eti kafulila naye mzalenda yaani malaya wa kisiasa siku hizi ndio wazalendo. Mtu aliye hama Nccr akaenda ACT wazalendo akaona atasahaulika mapema.ikabidi aende chadema ili aonekane , mara tu ya kuanza kuonekana akajiuuza ccm sasa anakula kwa urefu wakaba yake eti huo ndio uzalendo.
Kumbe mbowe ni raisi ,kwanza mbo na kafulila wapi na wapi . Hii inaonyesha Mbowe ni tishio kwa wenye madaraka . Maana kila kila usema ujinga wa selikali na ccm , Serikali na ccm wanakimbilia kushambulia mbowe au chadema. Hivi Mbowe na chadema wanatoza wapi kodi? Au wapi wanauza madini ya nchi?Sasa huyo Mbowe anayefia madarakani ndio uzalendo?
Kama tunampa pesa apeleke Kanisani anamtisha nani,?Kumbe mbowe ni raisi ,kwanza mbo na kafulila wapi na wapi . Hii inaonyesha Mbowe ni tishio kwa wenye madaraka . Maana kila kila usema ujinga wa selikali na ccm , Serikali na ccm wanakimbilia kushambulia mbowe au chadema. Hivi Mbowe na chadema wanatoza wapi kodi? Au wapi wanauza madini ya nchi?
Naomba namba yako ya simu mremboTanzania tumelala huku tukiota moto wa mwenge
Noma sana!Wenye akili wapo wengi tu sema ubinafsi.
Bora Ubia Uje naona tuone itakuwajeDunia iko Kasi sana.
Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.
Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.
Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,
Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,
Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.
Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.
Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.
My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.
Take Five🤛🏿
Ajibu hii,Nahisi huifahamu vizuri PPP,
Mtu anayekuja kujenga mradi wa PPP Serikali haiweki pesa yoyote,
Pili, Kama Mchina atajenga barabara zake kwa kiwango kibovu basi hasara atapata yeye,
Ubia maana yake ni kuitekeleza miradi yenye manufaa kwa Umma kwa pesa za wabia,
Serikali haitumii Senti yake ila inatoka eneo la miradi kwa Ubia,
Baadae terms za mradi zitakuwa setted,
Hakuna rushwa Kwakuwa anayekeleza mradi ndio mwenye mradi
PPP wanastahili pongeziDunia iko Kasi sana.
Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.
Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.
Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,
Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,
Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.
Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.
Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.
My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.
Take Five🤛🏿
Umeongea kwa sauti sanaDunia iko Kasi sana.
Wakati Tanzania na Watanzania kwa gharama kubwa wakiendelea kujiimarisha kifedha, kitaasisi na kirasimali watu ili kupambana na rushwa na Ufisadi kwenye baadhi ya miradi na taasisi zetu mbalimbali ni wazi dunia inaondoka kwa Kasi kwenye mifumo hii ya control kwenda kwenye mfumo wa Private and Public Partnership project yaani PPP.
Wakati PPP Tanzania ikionekana na kuchukuliwa kama chanzo cha upigaji wa mali za Umma wa Watanzania hali ni tofauti sana huko duniani kwani PPP ni kama TAKUKURU ya Tanzania inavyopambana na rushwa na Ufisadi, Sasa hapa kama nchi au Taifa tunaweza tukaelewa umuhimu wa hii PPP ulivyo mkubwa kwa mustakabali wetu na ule wa watoto wa watoto wetu hasa katika miradi mikubwa ya maendeleo ya Taifa.
Tangu PPP Tanzania ipate Director mpya ambae ni mzalendo na kinara wa muda mrefu wa kupinga rushwa na Ufisadi nchini Bw David Kafulila nilielewa kabisa dhamira ya Rais Samia sasa inafanana kabisa na ile ya marais wengine wajanja duniani waliyoigeuza PPP kama njia na chombo mojawapo Cha kupambana na rushwa, Uzembe, matumizi mabaya ya fedha za Umma, Ufisadi, Utekelezaji wa chini ya kiwango wa miradi mbalimbali ya Serikali na mengine mengi,
Kuna kitu Watanzania sijui kama wanakifahamu vema,
Watanzania kwa mfano tunafahamu kila mwaka katika kila Kodi tunazolipa baadhi yake zinapelekwa kulipia gharama za kuendesha na kuendeshea denge zetu za Air Tanzania au shrikika letu la simu TTCL , kama huelewi jaribu kujipa muda ukasome ripoti za CAG za miaka mitano mfufulizo ukianza na ripoti ya Sasa.
Natamani kuona siku moja chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan miradi yote ya Serikali inayoiletea Serikali yetu hasara iendeshwe kwa Ubia ili hata kama hatutapata faida ila tusitoe Kodi zetu sisi walala hoi kuzipeleka kuendeshea miradi ambayo inasura ya kibiashara kama ATCL au ATTCL.
Mfano, Leo Mchina atakayejenga njia 10 za kulipia Dar es salaam na ili kupunguza msongamano akapewa may be miaka 30 ya mkataba maana yake barabara zitakazojengwa na wachina hawa zitakuwa na ubora wa kutumika zaidi ya Miaka 30 tofauti na barabara zinazojengwa na kuharibika kila baada ya miaka miwili Mitatu huku Serikali ikitumia Kodi zetu kuzifanyia marekebisho hayo ya mara kwa mara.
My Take: ANAYEPINGA PPP NI YULE TU ASIYEELEWA FAIDA ZAKE AU NI MPIGAJI KWA ASILI.
Take Five🤛🏿