Omuzaile
Member
- Jan 23, 2019
- 34
- 56
Habari Wana jamii forum, ningependa kujua kuhusu hawa watu je sio matapeli? Kwa hapa Kibaha maili moja wapo ukumbi unaitwa mwitongo, kwakweli Wana wanafunzi wengi mno haswa kutoka mikoa jirani, nilimuhoji mwanafunzi mmoja kuhusu utaratibu wao ndo akaniambia ukiwa unaanza unaambiwa mafunzo ni bure Ila tu form ya kujiunga ndo elfu 20 utajitegemea malazi ndo utajitegemea tu,
Ila walishangaa walipofikisha mwezi mmoja waliambiwa walipe laki 6 ili waweze kuendelea hatua inayofuata.
Na wanaahidiwa wakimaliza watawapatia ajira pamoja na kiwaunganisha kwenye makampuni yao.
Je, serikali haswa hapa Kibaha wanaijua hii kampuni, please kama unajua chochote kuhusu hawa watu share nasi tuweze kuwaokoa hawa wadogo zetu kwa kuliwa hela pia kupotezewa muda.
ASANTE.
Ila walishangaa walipofikisha mwezi mmoja waliambiwa walipe laki 6 ili waweze kuendelea hatua inayofuata.
Na wanaahidiwa wakimaliza watawapatia ajira pamoja na kiwaunganisha kwenye makampuni yao.
Je, serikali haswa hapa Kibaha wanaijua hii kampuni, please kama unajua chochote kuhusu hawa watu share nasi tuweze kuwaokoa hawa wadogo zetu kwa kuliwa hela pia kupotezewa muda.
ASANTE.