Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Habari za jioni wana JF?
Kuna kitu katika teuzi na reshuffle za jana ambacho naona media na wana social media hawajaweza kukikamata( ku capture).
Kitu chenyewe ni uteuzi wa Naibu Katibu Mkuu Dr. Franklin Rwezimula kwenda WEST(wizara ya elimu, sayansi na teknolojia) kushughulikia elimu ya Msingi na Sekondari.
Kabla ya hapo Elimu za Msingi na Sekondari kwa maana ya Operations, Human Resource na Miundo Mbinu ilikuwa TAMISEMI toka mwaka 2008.
Sasa huu uteuzi wa jana umenichanganya kidogo na bahati mbaya sijaweza kufuatilia uapisho kama Mazaa amesema neno lolote juu ya hilo.
Kama ni kweli, basi namuunga mkono katika hilo. Mambo yote ya elimu yabaki katika wizara ya Elimu. Kama ni mahitaji kule chini, basi capacity ijengwe huko huko ndani ya WEST.
Kuna kitu katika teuzi na reshuffle za jana ambacho naona media na wana social media hawajaweza kukikamata( ku capture).
Kitu chenyewe ni uteuzi wa Naibu Katibu Mkuu Dr. Franklin Rwezimula kwenda WEST(wizara ya elimu, sayansi na teknolojia) kushughulikia elimu ya Msingi na Sekondari.
Kabla ya hapo Elimu za Msingi na Sekondari kwa maana ya Operations, Human Resource na Miundo Mbinu ilikuwa TAMISEMI toka mwaka 2008.
Sasa huu uteuzi wa jana umenichanganya kidogo na bahati mbaya sijaweza kufuatilia uapisho kama Mazaa amesema neno lolote juu ya hilo.
Kama ni kweli, basi namuunga mkono katika hilo. Mambo yote ya elimu yabaki katika wizara ya Elimu. Kama ni mahitaji kule chini, basi capacity ijengwe huko huko ndani ya WEST.