Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
La liga kwa kipindi kirefu takribani miaka 10 ililitawa soka la ulaya kwenye michuno mikubwa ya uefa na ile michuano ya losers wengi wanaiita futuhi Europa.
Lakini msimu huu kuna kila dalili uefa fainali ikawa ya waingereza kati ya chelsea vs man city na europa wakakutana kati ya arsenal vs Man u.
Je utawala wa madrid barca atletico na sevilla umefika kikomo sasa? Je, La liga imeanza kufuata nyayo za seria A kua ligi sindikizaji?
Lakini msimu huu kuna kila dalili uefa fainali ikawa ya waingereza kati ya chelsea vs man city na europa wakakutana kati ya arsenal vs Man u.
Je utawala wa madrid barca atletico na sevilla umefika kikomo sasa? Je, La liga imeanza kufuata nyayo za seria A kua ligi sindikizaji?