Je Facebook imekuwa ceased kwa ajili ya maandamano?

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Katika hali ambayo siyo ya kawaida leo nilijaribu kupost mada fulani katika mtandao wa Facebook lakini inaonekana wameu- cease message haziendi. Anyway hata hivyo lengo la maandamano limesomeka vizuri ingawa wanaoandamana ni askari polisi na hawataki yeyote kuandamana isipokuwa wao tu.
 
HAHAHAHAH Eti wanaoandamana ni askari polisi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…