Je, Fei Toto kulindwa na kipengele cha kulinda kipaji?

Je, Fei Toto kulindwa na kipengele cha kulinda kipaji?

HPAUL

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
410
Reaction score
567
Siku za nyuma tumeona wachezaji wenye migogoro na klabu zao, wakati mgogoro unasubiri kufanyiwa maamuzi, mchezaji anaruhusiwa kujiunga na klabu kwa miezi 6, bila ada ya uhamisho.

Mfano ni Emmanuel Okwi alijiunga na Yanga, wakati akiwa katika mgogoro na klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia.

Sasa wanaojua sheria za mpira naomba wanijuze, endapo Fei atakata rufaa CAS, atapewa kibali Cha kuchezea klabu nyingine ili kulinda kipaji chake wakati ansubiria maamuzi ya kesi yake?

Kama ni hivyo ina maana Azam wanaweza mpata bure kwa miezi 6.
 
Fei atarudi yanga na timu itakayomtaka itafata taratibu zote bila shida na kumpata au lah watangoja mda wake ufike
 
Kitu ambacho hafahamu mleta Mada FIFA Ili mpatia kibali cha muda Emanuel Okwi kwakua mkataba wake na Etoile du Sahel ya Tunisia kuvunjika.

Mkataba ulivunjika baada ya Etoile du Sahel kushindwa kumlipa Okwi mshahara wa miezi mitatu.

FIFA wali mruhusu Okwi kuchezea Sports club villa Kwa kibali maalum wakati mgogoro wao ukitafutiwa ufumbuzi.

Feisal haidai Yanga chochote na matakwa ya mkataba yanatekelezwa na Yanga bila tatizo.
 
Siku za nyuma tumeona wachezaji wenye migogoro na klabu zao, wakati mgogoro unasubiri kufanyiwa maamuzi, mchezaji anaruhusiwa kujiunga na klabu kwa miezi 6, bila ada ya uhamisho. Mfano ni Emmanuel Okwi alijiunga na Yanga, wakati akiwa katika mgogoro na klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia.

Sasa wanaojua sheria za mpira naomba wanijuze, endapo Fei atakata rufaa CAS, atapewa kibali Cha kuchezea klabu nyingine ili kulinda kipaji chake wakati ansubiria maamuzi ya kesi yake? Kama ni hivyo ina maana Azam wanaweza mpata bure kwa miezi 6.
Swala la kulinda kipaji kinatumika ikiwa club ndo imevunja mkataba. Kwa swala la Okwi club ilishindwa kumlipa hata Msuva the same.Kwa Feisal yeye ndo anavunja mkataba na club inamlipa as per contract na haijamzuia kucheza. Mhalifu analindwa, uliona wapi? Yeye ataambiwa, afuate utaratibu aende timu inayomtaka.
 
Mikia bado hii suala linawauma kiasi hiki[emoji848][emoji848]
 
Siku za nyuma tumeona wachezaji wenye migogoro na klabu zao, wakati mgogoro unasubiri kufanyiwa maamuzi, mchezaji anaruhusiwa kujiunga na klabu kwa miezi 6, bila ada ya uhamisho.

Mfano ni Emmanuel Okwi alijiunga na Yanga, wakati akiwa katika mgogoro na klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia.

Sasa wanaojua sheria za mpira naomba wanijuze, endapo Fei atakata rufaa CAS, atapewa kibali Cha kuchezea klabu nyingine ili kulinda kipaji chake wakati ansubiria maamuzi ya kesi yake?

Kama ni hivyo ina maana Azam wanaweza mpata bure kwa miezi 6.
Azam Wala hawana shida naye, wansyofanya yote haya Ni Ngada FC waliobebeshwa mixigo to aarabuni
 
Siku za nyuma tumeona wachezaji wenye migogoro na klabu zao, wakati mgogoro unasubiri kufanyiwa maamuzi, mchezaji anaruhusiwa kujiunga na klabu kwa miezi 6, bila ada ya uhamisho.

Mfano ni Emmanuel Okwi alijiunga na Yanga, wakati akiwa katika mgogoro na klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia.

Sasa wanaojua sheria za mpira naomba wanijuze, endapo Fei atakata rufaa CAS, atapewa kibali Cha kuchezea klabu nyingine ili kulinda kipaji chake wakati ansubiria maamuzi ya kesi yake?

Kama ni hivyo ina maana Azam wanaweza mpata bure kwa miezi 6.
Wala msimung'unye maneno kuhalalisha ujinga. Feisal hana mgogoro na Yanga ana utovu wa nidhamu.
 
Kitu ambacho hafahamu mleta Mada FIFA Ili mpatia kibali Cha muda Emanuel Okwi kwakua mkataba wake na Etoile du Sahel ya Tunisia kuvunjika. Mkataba ulivunjika baada ya Etoile du Sahel kushindwa kumlipa Okwi mshahara wa miezi mitatu.

FIFA wali mruhusu Okwi kuchezea Sports club villa Kwa kibali maalum wakati mgogoro wao ukitafutiwa ufumbuzi.
Feisal haidai Yanga chochote na matakwa ya mkataba yanatekelezwa na Yanga bila tatizo.
Hafahamu ndo maana kauliza.
 
We unafikiri Mgongolwa Alex angefanyaje?

Ni Sawa Sawa muuza supu apewe jukumu la kuamua Kesi Ya mbuzi....!
 
1683365449140.png



Yanga walipotaka kumsajili Okwi walikubaliana na SC Villa ambayo ilikuwa na mkataba wa miezi sita na mchezaji huyo ambaye aliingia kwenye mgogoro na klabu yake ya Etoile du Sahel ya Tunisia.

Kutokana na mgogoro na klabu yake ya Tunisia ilibidi Shirikisho la Soka Uganda (Fufa), liombe kibali maalumu Fifa ili mchezaji huyo aweze kulinda kipaji chake wakati mgogoro wake na Etoile du Sahel ukiwa unatafutiwa ufumbuzi hata hivyo baada ya miezi mitatu Okwi alijiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili na nusu ambao utakwisha mwaka 2016.

Hoja za Okwi
Katika moja ya hoja za Okwi alisema: “Nimejiunga na Simba ili kulinda kipaji changu kisishuke kwani ningechelewa kusaini Simba ningekosa mahali pa kwenda kucheza kutokana na muda wa usajili kumalizika. Hata wao Yanga walinichukua SC Villa ambako nilikuwa nacheza baada ya kupata matatizo Tunisia.

“Nisingeenda SC Villa sidhani kama Yanga wangenichukua bila mimi kutokuwa na timu yoyote, hivyo hili ni suala linalokubalika mahali popote duniani,” alisema Okwi.

Kwa upande wa Simba, hoja ambayo wanaitoa kupitia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope ni kwamba Okwi aliomba kujiunga na timu hiyo mwenyewe baada ya kuelezwa kuvunjwa kwa mkataba wake na Yanga.

“Mbinu walizotumia Yanga kumsajili Okwi wakati ana mgogoro wake na Etoile du Sahel ya Tunisia ndiyo hizo hizo tulizotumia kumrejesha Simba. Walivyowafanyia Tunisia wakati wana mgogoro na Okwi walijiona washindi sasa na sisi kwa mantiki hiyo hiyo tumeamua kumrudisha kundini, kwani wakati wao wanamsajili hawakujua kuwa Okwi ana mkataba na Etoile du Sahel hadi 2015?” alihoji Hans Pope.
 
Kipengele namba 14.7 kwenye mkataba kati ya Fei na Utopolo kinamruhusu mchezaji kuvunja mkataba kama alivyofanya Fei, hii ni kutoka kwa Fatma Karume aliyeuona mkataba husika.

Hizi zote ni figisu kati ya TFF, utopolo, na yule mwanasiasa mmiliki wa Singida BS.
 
Siku za nyuma tumeona wachezaji wenye migogoro na klabu zao, wakati mgogoro unasubiri kufanyiwa maamuzi, mchezaji anaruhusiwa kujiunga na klabu kwa miezi 6, bila ada ya uhamisho.

Mfano ni Emmanuel Okwi alijiunga na Yanga, wakati akiwa katika mgogoro na klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia.

Sasa wanaojua sheria za mpira naomba wanijuze, endapo Fei atakata rufaa CAS, atapewa kibali Cha kuchezea klabu nyingine ili kulinda kipaji chake wakati ansubiria maamuzi ya kesi yake?

Kama ni hivyo ina maana Azam wanaweza mpata bure kwa miezi 6.
Mtoto mpumbavu ni mzigo Kwa mamaye.
 
Kipengele namba 14.7 kwenye mkataba kati ya Fei na Utopolo kinamruhusu mchezaji kuvunja mkataba kama alivyofanya Fei, hii ni kutoka kwa Fatma Karume aliyeuona mkataba husika.

Hizi zote ni figisu kati ya TFF, utopolo, na yule mwanasiasa mmiliki wa Singida BS.
Bush lawyer huchoki bado unapambania kombe la Feisal. Komaa kaza utatoboa Lawyer
 
Kipengele namba 14.7 kwenye mkataba kati ya Fei na Utopolo kinamruhusu mchezaji kuvunja mkataba kama alivyofanya Fei, hii ni kutoka kwa Fatma Karume aliyeuona mkataba husika.

Hizi zote ni figisu kati ya TFF, utopolo, na yule mwanasiasa mmiliki wa Singida BS.
Nenda sasa ukaongeze idadi ya mawakili wa kumtetea huyo dogo. Kulialia tu humu jukwaani, hakusaidii chochote.
 
Back
Top Bottom