Je, Felix Mrema ni kichwa ngumu kiasi hiki?


Kuna mengi ya kujifunza, kumbe wakati mwingine inapendeza kusikia upande wa pili wa shilingi kabla ya kujump into biased conclusion with stereo type, contrast or projection.
 
I believe there is a case in court ,filed by Felix Mrema against his Kikuyu wife (1st wife).She has embezeled company money ie.from their flower farm.So,obviously relationships are strained.But it is sad when the dead are not given a proper burial.
God rest her soul in Peace.
 

Hakuna lolote la maana alilofanya ni upuuzi mtupu. Mwanae wa kumzaa anamzika kwenye ardhi ya watu wengine? Wallahi hajui hata maana ya uhuru. Naamini kabisa kuwa mwanae angependa azikwe na mama yake (kama angeweza kusema hivyo). Ila kifo hakikumpa nafasi hiyo. Pole Mama Milca. Mungu kupe nguvu za kuvumilia yote.
 
Yakishakuwa ya kifamilia?
ina maana hata kukiwa na dhuluma watu wajifanye vipofu? waliodhulumiwa wasitetewe?
Mambo ya mali nimesema ni yakifamilia ili nisiexpose too much mgawanyo wa mali za marehemu. In short mke Mkikuyu alimkimbia jamaa kutokana na mambo mbalimbali ikiwemo ni pamoja na jamaa kuwa 'apeche alolo'.
Jamaa akapata chungu kipya na akapata mali alizochuma na mama dogo. Ameugua kwa miaka kadhaa akihangaika na mama dogo. Ustaarabu ulikuwa Mke mkubwa aje, wazike na ndipo masuala ya mali yafuatie. Binti alisimamisha kila kitu na kuongea yeye mwenyewe kuwa hakuna kinachoendelea mpaka kieleweke. Mwili ulikaa tena more days kusubiri migogoro iishe.
 

Asante ndugu ila Fafanua -'apeche alolo'.
Chungu kipya hicho ........ mali zilikuwepo kazikuta..anachuna tu!
 
Mwaka 1967, akahamia Tanzania na kununua eneo kubwa pale Sinza. Miaka ya 70 akatengana na mkewe, mama akarudi Kenya na watoto wa kike, baba akabaki Tanzania na mtoto wa kiume. Baadaye baba akaoa mke mwingine Mtanzania na kupata watoto wengine 3.

Pasco! Bado unajichanganya. Marehemu alinunua eneo kubwa Sinza mwaka 1967. Alitengana na mke mkubwa miaka ya sabini. Je walipotengana (bila kujali sababu) waligawana hilo eneo? Kumbuka kugawana mali mliyochuma katika ndoa hakutegemei nini chanzo cha ndoa yenu kuvunjika! Unachoweza kukuta ni kuwa hawa hawakutalakiana kisheria ( wengi wanafanya hivyo). Mama hayupo ndani ya nyumba basi biashara imekwisha! Sasa mambo yakiwa mambo ndipo unakutaka mwenzako akidai mali ulizochuma wakati hayuko maana kwenye macho ya sheria yeye bado ni mwenzako!

Kurudi kwa huyu mheshimiwa. Hivi huyu mke mdogo ni mtu wa wapi? Ni mmarekani? Nisigependa kuamini kuwa mwanamke wa kitanzania ataweza kufikia mahali pa kukataza mtoto wake wa kufikia asizikwe nyumbani!
 
Mkuu kila siku asubuhi nasikia matangazo ya Ndege ya Community line wakitangaza kwamba kuna unasafiri wa hiyo Ndege. Naomba wanaojua hiyo ndege inarukia uwanjagani na saa ngapi?
 
Fundi hili swala ukiliangalia kwa mlengo wa sympathy ni rahisi kumlaumu Mrema. Lakini tujiulize..hivi kweli unaamini kwamba Mrema ni sadist kiasi hiki aondoke kwenda US bila kumwambia mke wake na aamue kuzika huko? Lets be real. Hapa kuna mambo ambayo mimi na wewe hatujui. Infact mmoja keshatwambia kwamba Mrema ana kesi dhidi ya mke wake ya ku-embezzle mali ya familia. Connect the dots. Na kikubwa zaidi HATUJUI uhusiano wa hawa watatu ulikuwaje..yaani baba, mama na mwana.

Yes, marehemu hana budi kuheshimiwa, no doubt about that. Lakini vile vile hatuwezi kujua kwa nini Mrema ameamua kufanya alivyofanya. Kumbuka hata Mrema ana uchungu na mwanaye..he is a human being, so is Milcah. Hapa INAWEZEKANA..Mrema kaamua kufanya hivi out of frustrations. NA HUYU MAMA akaamua kuliweka kwenye media kuseek sympath. MAYBE NOT, MAYBE YES.

Jiulize ni huyu huyu mama aliyekwenda kuomba visa Kenya akanyimwa..mpaka thread hapa ilianzishwa..do you think Mrema angeshindwa kumtafutia visa mkewe kweli iwe Tanzania au wapi? I mean if it was a genuine case? Mimi mpaka ubalozi kumyima visa Mke wa MREMA of all people..naona kuna mshkeli! Kifupi ni kwamba hana njaa. I suppose. Kwa hiyo credibility yake, to me..imeshakuwa dented.

WoS, I feel you kuhusu udhalimu wa familia zetu..lakini kitu ambachop kimekuwa kikiwaumiza wengi wetu especially akina mama zetu ni ku-play victim card kwamba wanaonewa. Na wengi si kwamba wanaonewa especially wasomi wa mjini au wenye uwezo..ila basi tuu ni ukorofi.....unaweza kumlaumu Mrema..lakini jamani hizi nyumba zina mambo mengi sana. Huwezi kujua Mrema kavumilia mangapi..mpaka akaamua sasa na liwalo na liwe...kwenda kuzika US. By the way kuna wanawake wengi wanateseka..lakini vile vile wapo wanawake wengi WAJEURI ambapo unakuta waume zao wanakuwa frustrated wanaamua kwenda kutafuta-vi-18!

Anyhow RIP binti Mrema.
 
Pasco,
Mbona majibu yako hapa kidogo yanaleta utata katika hili.
1. Dr. Milcah Mrema - mama yake na marehemu- anaishi Arusha miaka yote na anaendelea kufanya biashara na huyo mume wake huku biashara hiyo yeye na mumewe ni part owners, sasa kumwacha mumewe kwa kuwa apeche alolo mbona haielekei katika hili? Labda useme kamwacha kwa mambo mengine

2. Inaelekea huyu mama yuko busy ktk kujitafutia maendeleo na mambo mengine ila kusema kuwa haja-assume uraia wa TZ unatokana na mengi hasa ukizingatia ndoa yake ilipoishia. Ameamua kubaki kuwa Mkenya anayefanya shughuli zake Tanzania, yeye kuomba visa US na kunyimwa itakuwa kutokana na mambo mengine. Akiiwa kama Mkenya na ukizingatia yuko jirani na Kenya na anaendelea ku-maintain passport ya huko, hana udi kurudi kule kuomba visa.

3. hakuna ushahidi kuwa Mrema alimpa divorce huyu Mwanamke na kama ipo basi wenye kufahamu watoe ushahidi. Hili la embezzlement case linanipa utata kidogo, nadhani mtu akifunguliwa kesi kama hiyo na business patner wake lazima akae pembeni, mbona kuna ushahidi she is still running the business.

Ninachoona kuna bad blood between the two people ya muda mrefu. If they had officially divorced I guess things would have been civil. Lakini kwa kuwa kuna strings attached inakuwa ngumu sana. Ila ninamlaumu bwana Mrema. Yeye kwa kuwa ni 'kichwa' alitakiwa kuonyesha mfano kwa kutafuta dialogue na mkewe waweze kusolve haya mambo taratibu wamzike mtoto wao ila kwa kuwa anatumia jeuri yake, basi Mkikuyu wa watu kajitokomea huko. Wangeonyesha ushirikiano toka mwanzo mtoto kapata ajali haya mambo yangeenda kimya. ila wameshindwa, they have so much vested anger. Wanatia aibu na huruma at the same time
 
Bimkubwa,
umefupisha ishu yenyewe vizuri mno.Asante!
 

Bimkubwa,

Ninakupongeza sana kwa posting yako hii. Ninakubaliana na wewe moja kwa moja Mrema alikuwa na nafasi kubwa ya kuweka sawa mambo ya familia yake bila ya kufikia hapa yalipo.

Mimi ni mwanaume, katu sikubaliani na aina yeyote ile ya kumdhalilisha, kumwonea na hata kumuabisha mwanamke kwa kofia ya 'mimi mwanaume'. Hebu fikiria mwanamke aliyezaa kwa uchungu, akamlea mtoto tangu day one, leo hii kwa sababu za jeuri tu huyu mama ananyimwa nafasi ya kumwona mpenzi mtoto wake kwa mara ya mwisho, how sad it is?


Bimkubwa naomba uniruhusu ni-dedicate posting yako kwa wanawake wote wanaonyanyasika kutokana na jeuri za waume zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…