Mbona cku hizi hospital nyingi wamepunguza,kuihitaji hiyo pf 3!wanakutibu kwanza then,unafuatilia hiyo form,mi kuna jamaa wiki iliyopita aliwamia na wahuni akajeruhiwa vibaya,2lichofanya ni kumkimbiza hospital kwanza,ndio palikuwa karibu,akapata matibabu then,akaambiwa ataleta pf3,labda ni ukosefu wa uelewa tu kwani jeshi la polisi walishatoa maelekezo kuwa kuna matukio m2 akipata apelekwe kwanza hospital,ndio utaratibu mwingine ufuate.