Je, funza hawatotokea kwenye mazingira haya?

Je, funza hawatotokea kwenye mazingira haya?

Regent

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
2,306
Reaction score
3,569
Wanasema kuwa funza anatokana na inzi kutaga mayai kwenye chakula au kitu kinachooza.

Swali
Je, tukimchukua mtu aliye hai tukamfungia kwenye chumba/Cabin isiyopitisha kitu chochote yule mtu akafa huyu mtu hatotoa funza?

Au

Tukikata kipande cha nyama ya ng'ombe hapohapo tukakifungia kwenye Cabin isiyopitisha Nzi, je kitaoza bila kutoa funza?
 
Mtu hai tayari ana funza ambao wapo damuni au tumboni ila sababu yupo hai damu moto haiwapi nafasi funza kujimwambafai.

Asubuhi ukiwa unaamka washa simu yako jiwekee usoni fumba macho kisha huku ukijaribu kuangalia mwanga wa simu bila kufumbua ujionee vidudu vilivyonona

nyama inaoza pia
 
Mtu hai tayari ana funza ambao wapo damuni au tumboni ila sababu yupo hai damu moto haiwapi nafasi funza kujimwambafai.

Asubuhi ukiwa unaamka washa simu yako jiwekee usoni fumba macho kisha huku ukijaribu kuangalia mwanga wa simu bila kufumbua ujionee vidudu vilivyonona

nyama inaoza pia
Inamaana hao funza wanakuwa Invisible mpaka ukifa ndio wanakuwa visible kuonekana kwa macho...maana kwenye mzoga kuna kuwa na maelfu ya funza binadamu akiyehai umpasue mchane kokote hukuti hao funza.
 
Sababu Funza hawaishi sehemu za joto.
Inamaana hao funza wanakuwa Invisible mpaka ukifa ndio wanakuwa visible kuonekana kwa macho...maana kwenye mzoga kuna kuwa na maelfu ya funza binadamu akiyehai umpasue mchane kokote hukuti hao funza.
 
Back
Top Bottom