Adimu JF-Expert Member Joined Aug 22, 2013 Posts 661 Reaction score 297 Aug 1, 2020 #1 Habarini wakuu! Kwa wazoefu kwenye biashara ya uber, gari aina ya Carina T.I cc 1490 namba C je inaweza kuleta faida ikiingia kwenye biashara ya uber? na je hii gari wanaichukulia kama uber ya gari kubwa au ya kawaida? Ahsanteni.
Habarini wakuu! Kwa wazoefu kwenye biashara ya uber, gari aina ya Carina T.I cc 1490 namba C je inaweza kuleta faida ikiingia kwenye biashara ya uber? na je hii gari wanaichukulia kama uber ya gari kubwa au ya kawaida? Ahsanteni.
M Mr Kazi Member Joined Nov 25, 2017 Posts 55 Reaction score 123 Aug 1, 2020 #2 Kama yako unafanya na unapata pesa kama ya kupeleka hesabu itakucost kidogo au inategemea na malipo ya hesabu
Kama yako unafanya na unapata pesa kama ya kupeleka hesabu itakucost kidogo au inategemea na malipo ya hesabu
ankol JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 2,355 Reaction score 4,260 Aug 2, 2020 #3 Nunua Kirikuu 20,000/day nikawaida tu. Achana na Uber hasara tuu.
miambovu JF-Expert Member Joined Nov 17, 2016 Posts 375 Reaction score 780 Aug 2, 2020 #4 Hizo gari hazitakiwi na Uber
Bobbyray JF-Expert Member Joined Dec 3, 2015 Posts 1,367 Reaction score 1,756 Aug 2, 2020 #5 Hizo gari hazitakiwi na Uber masharti yao ni gari kuanzia mwaka 2003 kuendelea carina zipo chini ya mwaka huo
Hizo gari hazitakiwi na Uber masharti yao ni gari kuanzia mwaka 2003 kuendelea carina zipo chini ya mwaka huo
D DREAMBOY JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 2,117 Reaction score 1,369 Aug 8, 2020 #6 ankol said: Nunua Kirikuu 20,000/day nikawaida tu. Achana na Uber hasara tuu. Click to expand... Kaka naomba ujuzi wako kuhusu kirikuu
ankol said: Nunua Kirikuu 20,000/day nikawaida tu. Achana na Uber hasara tuu. Click to expand... Kaka naomba ujuzi wako kuhusu kirikuu