Nsaji wa Lila
Senior Member
- Feb 1, 2021
- 118
- 152
Wakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zina tofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwezi kwenda nalo masafa marefu kama Dar to Kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zina tofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwezi kwenda nalo masafa marefu kama Dar to Kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?