Nsaji wa Lila
Senior Member
- Feb 1, 2021
- 118
- 152
- Inaweza safari?, Ndio.Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwez kwenda nalo masafa marefu km dar to kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Maana sijawahi kwenda masafa marefu na gari chini ya cc 1490.- Inaweza safari?, Ndio.
- Zingatia taratibu zake, kwakuwa unaelewa uwezo wa gari husika.
Swala la engine kuchemsha hapo vipi??Kama Lina matairi litafuka popote panapopitika
Cooling system(radiator) kama iko poa inachemsha vipi...Swala la engine kuchemsha hapo vp??
So kwa uzoefu wako, kwa hiyo cc990 unatoboa hadi Mbeya?? Bila vituo vituo??Cooling system(radiator) kama iko poa inachemsha vipi...
Sio mbaya mkuu. Hata hivyo kama upo peke yako sio economy. Bora upande bus.mkuu nipe experiance ya kutoka na IST dar to ifakara, mkiwa watu wanne inafaa (dereva, nyuma watu wawili na bag lenye uzito wa kilogram 10) niambie mkuu nakusikiliza
Ooh hapo umesema vizuri, kumbe swala la vituo vingi halikwekepi. Duuh ndio maana IST zinapendwa [emoji1]Kama pikipiki tena yenye air-cooler inaenda itashindwaje gari yenye rejeta?
Sema kama alivosema mdau Mwl.RCT hapo juu, ushajua gari yangu haiwezi shindana na wenye 2.0L zingatia haya:....
Bila vituo ndio ila why taking risk. Dar to Mbeya kilometa 800 hizo bora ubreak kila baada ya 200. Mfano Moro, Iringa, hafu Makambako au ukamalizia.So kwa uzoefu wako, kwa hiyo cc990 unatoboa hadi mbeya?? Bila vituo vituo??
Mkuu kwanini umeseam IST zinapendwa ebu nipe somo hapa?Ooh hapo umesema vizuri, kumbe swala la vituo vingi halikwekepi. Duuh ndio maana IST zinapendwa
Tuliwahi kusafiri na IST Dar to Kahama kituo kilikuwa kimoja tu, bila tabu yoyote. Zile km 900+mkuu kwanini umeseam IST zinapendwa ebu nipe somo hapa?
Mlikuwa wangapi kwenye gari mkuu? Na je mlikuwa na mzigo wowoteTuliwahi kusafiri na IST Dar to kahama kituo kilikuwa kimoja tu, bila tabu yoyote. Zile km 900+
Tulikuwa wanne, mzigo ni mabegi km ya kg60 yote. Na vitunguu debe 2mlikuwa wangapi kwenye gari mkuu? na je mlikuwa na mzigo wowote
Ni kweli mkuu, sasa mfano kila baada ya miezi minne unaenda Arusha from Dar au Mbeya. But most of time unakuwa Dar, je haifai kuitumia kuendea huko mkoani??Mkuu kwa Passo sipo zenye engine chini ya CC 1000 alkadhalika Vitz. Vipo nyingine zenye engine ya piston tatu lakin hizi gari ni town Cruiser zimeundwa kwa wale watuamiji wa mijini mtuajia anae endesha gari chini ya km 70 wastani kwa siku. Lakin zinaweza pia kwenda mbali kama vipo na services nzuri lakin kwa masafa ya mara kwa mara huuu mkuu mwezi tu linakua borongoto.
Hizo gari we unazoita town cruizer we nzio ndo wanapiga nazo masafa mf.unakuta mtu ana ist, vits anaanzisha ligi na mtu wa Subaru Forester hapo yuko highway hajui kuwa anaua gari mdogo mdogo, TRA mnatukosea sana kwa huo ushuru watz tunashindwa kuendesha ndinga za maana kwa sabb yenu, watu wanakalia kununua vits, ist, Porter n.kMkuu kwa Passo sipo zenye engine chini ya CC 1000 alkadhalika Vitz. Vipo nyingine zenye engine ya piston tatu lakin hizi gari ni town Cruiser zimeundwa kwa wale watuamiji wa mijini mtuajia anae endesha gari chini ya km 70 wastani kwa siku. Lakin zinaweza pia kwenda mbali kama vipo na services nzuri lakin kwa masafa ya mara kwa mara huuu mkuu mwezi tu linakua borongoto.
Mkuu inafaa kabisa. Sema inabidi uijali utumie quality oil na service ontime maana vipuri vyake vinaaribika mapema. Sema kaa ukijua hizo Gari siyo za masafa marefu hata ukisafiri nayo mbali utagundua unachoka sana pamoja na ni automatic ukilinganisha na SUV mfano Prado.Ni kweli mkuu, sasa mfano kila baada ya miez minne unaenda arusha from dar, au mbeya. But most of time unakuwa dar, je haifai kuitumia kuendea huko mkoani??