Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,209
- 2,243
Habari zenu wakuu.
Napenda kuuliza kama ni salama na vizuri kunua bidhaa kwenye tovuti/application ya gearbest. Kwa mwenye ujuzi na uzoefu nayo anisaidie. Na kama kuna utaratibu wowote tujuzane tafadhali.
Natanguliza shukrani.
Napenda kuuliza kama ni salama na vizuri kunua bidhaa kwenye tovuti/application ya gearbest. Kwa mwenye ujuzi na uzoefu nayo anisaidie. Na kama kuna utaratibu wowote tujuzane tafadhali.
Natanguliza shukrani.