Je, Gerson Msigwa na Peter Msigwa ni ndugu?

Je, Gerson Msigwa na Peter Msigwa ni ndugu?

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Ndugu zanguni naombwa nifahamishwe je Gerson Msigwa aliyewahi kuwa mbunge wa Iringa 2010--2020 na Ndugu Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, msemaji wa rais kwa Sasa ni Ndugu?

Kama ni Ndugu, Je ni ndugu wa namna gani? Ni ndugu kwa maana wa damu(baba moja mama moja) Ni ndugu kwa maana mtoto wa baba mkubwa na mdogo au ni Ndugu wa ukoo tu.

Natamani nijue hili ili nitatue jambo lililo moyoni mwangu, kwa maana kama ni ndugu wanawezaje kumaintain mmoja kufanya kazi serikarini tena akiwa karibu kabisa na Rais mwingine akiwa mpinzani aliyekuwa akipitia madhia kutoka kwa Ofisi ambayo ndugu mtu ndio anaifanyia kazi?

Kama ni Ndugu kweli wanawezaje kumaintain kwa kutokutoa siri zao, Gerson za pale jumba jeupe; Peter za pale kwa Mbowe maana ni mjumbe pindi wakikutana kama Ndugu, au kuwasiliana.

Ni maswali mengi ila kubwa kwanza naombwa nifahamishwe jambo hili tu; je hao kina Msigwa wawili ni Ndugu?

Kuuliza sio Ujinga.

Cc Zero IQ
 
Nadhani hawana undugu ni majina tu, ila kuna reporter wa ITV yuko Ruvuma amefanana fanana na Gerson nadhani watakuwa ndugu kwasababu nae surname yake ni Msigwa.
 
Msigwa ni jina koo nyingi huko nyanda za juu. Wenye jina hilo ni wengi.
 
Peter Msigwa ni muhehe wa iringa na G. Msigwa ni mkinga wa Makete. Msigwa ipo katika makabira ma tatu yaani wapo akina Msigwa wa hehe, wapo akina Msigwa wa bena na wapo akina Msigwa wa Kinga
Asante nashukuru kwa kufahamu mkuu
 
Ninachojua msigwa alilipiwa dhamana 23mln na mwendazake na wana undugu.
 
Nasikia Wakinga ni wachawi sana.
[emoji1][emoji1] hapana Mkuu uchawi ulikuwa zamani sana saizi wengi tumeelimika sana kutokana na utandawazi. Kipindi hicho cha mababu zetu ndipo ulikuwepo kwa wingi lakini wengi wao saizi wameshapotea wamebaki vijana wapambanaji sana ndio maana utaona kunaasili ya kubebana sana katika biashara.

Ukifika duka lolote la mkinga au biashara yeyote ile utakuta lazima kunavijana kawatoa kijijini
 
Nadhani hawana undugu ni majina tu, ila kuna reporter wa ITV yuko Ruvuma amefanana fanana na Gerson nadhani watakuwa ndugu kwasababu nae surname yake ni Msigwa.
Huyu Gerson nadhan ndio yule aliyekawa mwandishi wa habari kule Songea kipindi nasoma primary...

Mwageni Cv zake tuondoe utata
 
Ndugu zanguni naombwa nifahamishwe je Gerson Msigwa aliyewahi kuwa mbunge wa Iringa 2010--2020 na Ndugu Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, msemaji wa rais kwa Sasa ni Ndugu?

Kama ni Ndugu, Je ni ndugu wa namna gani? Ni ndugu kwa maana wa damu(baba moja mama moja) Ni ndugu kwa maana mtoto wa baba mkubwa na mdogo au ni Ndugu wa ukoo tu.

Natamani nijue hili ili nitatue jambo lililo moyoni mwangu, kwa maana kama ni ndugu wanawezaje kumaintain mmoja kufanya kazi serikarini tena akiwa karibu kabisa na Rais mwingine akiwa mpinzani aliyekuwa akipitia madhia kutoka kwa Ofisi ambayo ndugu mtu ndio anaifanyia kazi?

Kama ni Ndugu kweli wanawezaje kumaintain kwa kutokutoa siri zao, Gerson za pale jumba jeupe; Peter za pale kwa Mbowe maana ni mjumbe pindi wakikutana kama Ndugu, au kuwasiliana.

Ni maswali mengi ila kubwa kwanza naombwa nifahamishwe jambo hili tu; je hao kina Msigwa wawili ni Ndugu?

Kuuliza sio Ujinga.

Cc Zero IQ
Mkuu kwa vyazo vyangu fulani fulani visivyo na uhakika sana ni kua hawa jamaa ni ndugu wa damu.
Na wote wawili walimwita ndugu.mwendazake mjomba.
 
Ndugu zanguni naombwa nifahamishwe je Gerson Msigwa aliyewahi kuwa mbunge wa Iringa 2010--2020 na Ndugu Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, msemaji wa rais kwa Sasa ni Ndugu?

Kama ni Ndugu, Je ni ndugu wa namna gani? Ni ndugu kwa maana wa damu(baba moja mama moja) Ni ndugu kwa maana mtoto wa baba mkubwa na mdogo au ni Ndugu wa ukoo tu.

Natamani nijue hili ili nitatue jambo lililo moyoni mwangu, kwa maana kama ni ndugu wanawezaje kumaintain mmoja kufanya kazi serikarini tena akiwa karibu kabisa na Rais mwingine akiwa mpinzani aliyekuwa akipitia madhia kutoka kwa Ofisi ambayo ndugu mtu ndio anaifanyia kazi?

Kama ni Ndugu kweli wanawezaje kumaintain kwa kutokutoa siri zao, Gerson za pale jumba jeupe; Peter za pale kwa Mbowe maana ni mjumbe pindi wakikutana kama Ndugu, au kuwasiliana.

Ni maswali mengi ila kubwa kwanza naombwa nifahamishwe jambo hili tu; je hao kina Msigwa wawili ni Ndugu?

Kuuliza sio Ujinga.

Cc Zero IQ
Kabla sijakujibu.. Taaluma yako umeiacha siku hizi? Tunakumiss sana..
Umestaafu kuchakata?
 
Peter Msigwa ni muhehe wa iringa na G. Msigwa ni mkinga wa Makete. Msigwa ipo katika makabira ma tatu yaani wapo akina Msigwa wa hehe, wapo akina Msigwa wa bena na wapo akina Msigwa wa Kinga
Wapo pia akina msigwa waha
 
Back
Top Bottom