Wanajf naomba kujulishwa khs haja kubwa hv kuna umuhimu wa mtu kukamilisha ratiba hii kila siku na je kuna tatizo lolote endapo kutokana na mtu kula mlo kidogo na kutoenda haja hata siku mbili mfululizo. nawasilisha!
wamember naomba nieleweke ni kwamba nnachohoji mi ni kuhs ratiba yake inabid ivary kwa mda kama ni baada ya masaa 12 au ni kila asubuh na max ni baada ya mda gan na si kutoenda toilet kabsa no ndio maana nikahoj kama aina ya chakula inahusika kwasabu mtu anayekula ugali wa kutosha sizani kama anafanana na aliyekula kijisahani cha chipsi ndiyo nnachohoji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.