Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Tuchukulie mimi (Me) ni mtuhumiwa, ama nimekumbwa na kashfa, katika eneo langu la kazi.
Ofisi inaamua kunihita katika kamati ya Maadili kwa masikilizano.
Anakuja :-
(1) Hr observer and Prosecuter
(2) Chairperson
(3) Complainant
(4) Member
(5) Member
(6)Member
(7) Member
(8) Muakilishi chama cha wafanyakazi
(9) Hr consultant
Mtu wa kumi (10) ni mimi muhusika/mtuhumiwa katika Dai/shitaka (Mezani)
Lengo la kutaka kujua katika swali langu.
(1) Je..., ni haki ama yawezekana kumuhukumu/kusikiliza shauri la mtuhumiwa pasipo (yeye) kuwa na Muwakilishi wake...! (Mfano Mwanasheria)
(2) Je ni haki kusikilizwa na JOPO (Kundi) la watu, lisilo zingatia Usawa/Uwiano mahala pa kazi..!?
(3) Ni haki/sawa kumuhukumu, mtu unaye dhani ni Punguani wa akili...?
Naomba wale WAJUVI wa Mambo, haki za Binaadamu, haki za walemavu na wale kutoka haki za Usawa na Jinsia, kunipatia majibu/ushauri.
Karibuni wana JF, wajuzi wa Sheria...
Natanguliza shukrani. Na maswali yoyote juu ya hili.
Mimi mwanachama mwenzenu.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
Ofisi inaamua kunihita katika kamati ya Maadili kwa masikilizano.
Anakuja :-
(1) Hr observer and Prosecuter
(2) Chairperson
(3) Complainant
(4) Member
(5) Member
(6)Member
(7) Member
(8) Muakilishi chama cha wafanyakazi
(9) Hr consultant
Mtu wa kumi (10) ni mimi muhusika/mtuhumiwa katika Dai/shitaka (Mezani)
Lengo la kutaka kujua katika swali langu.
(1) Je..., ni haki ama yawezekana kumuhukumu/kusikiliza shauri la mtuhumiwa pasipo (yeye) kuwa na Muwakilishi wake...! (Mfano Mwanasheria)
(2) Je ni haki kusikilizwa na JOPO (Kundi) la watu, lisilo zingatia Usawa/Uwiano mahala pa kazi..!?
(3) Ni haki/sawa kumuhukumu, mtu unaye dhani ni Punguani wa akili...?
Naomba wale WAJUVI wa Mambo, haki za Binaadamu, haki za walemavu na wale kutoka haki za Usawa na Jinsia, kunipatia majibu/ushauri.
Karibuni wana JF, wajuzi wa Sheria...
Natanguliza shukrani. Na maswali yoyote juu ya hili.
Mimi mwanachama mwenzenu.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app