Hivi sasa katika nyakati zetu, haki za wanawake zimekuwa zikipigiwa upatu na makundi mbalimbali ya kijamii wakiongozwa na wanawake wasomi.
Wote wamekuwa wakipambana na kitu kinachoitwa mfumo dume.
Mapambano hayo ya kudai haki, yameleta maumivu kwa watu wengi wakiwemo wanaume, wanawake na watoto.
Kuachana, kutesana kwenye mapenzi, mauaji kwa sababu za wivu wa mapenzi, kutelekeza familia ili kuepuka fedheha ya kutawaliwa na mwanamke n.k
Sasa napenda kuuliza, kuridhishwa kingono, ni haki ya msingi ya mwanamke?
Nimeona wimbi kubwa la wanawake wakitafuta wapenzi nje ya mahusiano ya ndoa ili waridhishwe. Na wanaona ni haki yao ya msingi.
Je, ikitokea mume pasipo hiari yake akashindwa kumridhisha mkewe, mahakama inaweza kutoa talaka ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima?
Wote wamekuwa wakipambana na kitu kinachoitwa mfumo dume.
Mapambano hayo ya kudai haki, yameleta maumivu kwa watu wengi wakiwemo wanaume, wanawake na watoto.
Kuachana, kutesana kwenye mapenzi, mauaji kwa sababu za wivu wa mapenzi, kutelekeza familia ili kuepuka fedheha ya kutawaliwa na mwanamke n.k
Sasa napenda kuuliza, kuridhishwa kingono, ni haki ya msingi ya mwanamke?
Nimeona wimbi kubwa la wanawake wakitafuta wapenzi nje ya mahusiano ya ndoa ili waridhishwe. Na wanaona ni haki yao ya msingi.
Je, ikitokea mume pasipo hiari yake akashindwa kumridhisha mkewe, mahakama inaweza kutoa talaka ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima?