DOKEZO Je, hakuna ufisadi na Ukiukwaji wa sheria wa makusudi kwenye mradi wa barabara ya iton-Lusitu Lot 1 Njombe?

DOKEZO Je, hakuna ufisadi na Ukiukwaji wa sheria wa makusudi kwenye mradi wa barabara ya iton-Lusitu Lot 1 Njombe?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Munjombe

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2018
Posts
2,107
Reaction score
2,985
Naomba JamiiForums itazame yafuatayo.

Je, ni sahihi kwa mkandarasi kutaka kupunguza kilomita za barabara kwa kuchepusha barabara karibu na vyanzo maji eneo la Kitulila huku akijua kufanya hivyo kunahatarisha vyanzo hivyo kwa makusudi.Je maisha ya wakazi yahatarishwe kwa faida ya Mchina na watumishi wachache wajanja wajanja tu.

Je, ikiwa kilomita zitapunguzwa kutoka 50 hadi 48 au 49 kwa maamuzi hayo serikali itanufaikaje au fedha hizo zote almost 3bilioni watagawana wajanja wachache waliopo Tanroad,Consultant na mkandarasi?

Je, kwanini Tanroad Njombe wanaificha serikali kuhusu huo mpango wa kupunguza kilomita na kusingizia kupunguza kona huku wakijua sio kweli Huo sio ufisadi?

Je, kuhamisha barabara bila kufanya tathimini ya Mazingira kwa maksudi huo sio ukiukwaji wa sheria kwa maksudi na kutaka kuweka reheni maisha ya wakazi huku meneja Tanroad mkoa akiwa amefumbia macho hayo yote. Kwanini meneja asifukuzwe kwa kutosimamia watumishi wake na kushindwa majukumu.

Okoa maisha na fedha za umma kwa kufuatilia hili kwenye huu mradi.
 
Naomba JamiiForums itazame yafuatayo.

Je, ni sahihi kwa mkandarasi kutaka kupunguza kilomita za barabara kwa kuchepusha barabara karibu na vyanzo maji eneo la Kitulila huku akijua kufanya hivyo kunahatarisha vyanzo hivyo kwa makusudi.Je maisha ya wakazi yahatarishwe kwa faida ya Mchina na watumishi wachache wajanja wajanja tu.

Je, ikiwa kilomita zitapunguzwa kutoka 50 hadi 48 au 49 kwa maamuzi hayo serikali itanufaikaje au fedha hizo zote almost 3bilioni watagawana wajanja wachache waliopo Tanroad,Consultant na mkandarasi?

Je, kwanini Tanroad Njombe wanaificha serikali kuhusu huo mpango wa kupunguza kilomita na kusingizia kupunguza kona huku wakijua sio kweli Huo sio ufisadi?

Je, kuhamisha barabara bila kufanya tathimini ya Mazingira kwa maksudi huo sio ukiukwaji wa sheria kwa maksudi na kutaka kuweka reheni maisha ya wakazi huku meneja Tanroad mkoa akiwa amefumbia macho hayo yote. Kwanini meneja asifukuzwe kwa kutosimamia watumishi wake na kushindwa majukumu.

Okoa maisha na fedha za umma kwa kufuatilia hili kwenye huu mradi.
Mzee wewe ni mgeni na mambo ya mikataba? Kinalipwa kioichofanyika na sio mlichosainiana.
 
Back
Top Bottom