Je, hakuna upigaji kwenye miradi ya Serikali inayofanyika nje ya nchi kama Ujenzi wa majengo ya balozi zetu?

Je, hakuna upigaji kwenye miradi ya Serikali inayofanyika nje ya nchi kama Ujenzi wa majengo ya balozi zetu?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Mwaka fulan ilimlazimu mheshimiwa mkubwa Kwenda kutoa ushahidi mahakamani kutokana na ujenzi wa nyumba ya ubalozi Ulaya , gharama zikawa mara Tatu ya uhalisia!

Nikajiuliza swali,
Kwanini sasa hapo Kenya tunapopanga kujenga jumba la ubalozi kuna mpango wa kutumia Pesa nyingi sana ! Je kwanini tusitumie Pesa chache sana na baki ikafanya mambo mengine ya msingi?

Huu ujenzi wa holela holela kupitia Wizara ya mambo ya nje uangaliwe upya

Ipo siku tutasimamishana kizimbani

Britanicca

Pia soma
 
Afadhali Makamba kaondolewa kwa ushauri ule bora tujenge mikoani .
Hakika sikuona kwanini tutumie Pesa kubwa sana kufanya ujenzi

Ila ilikuwa ni njia ya kuchannel Pesa kwa ajili ya 2030,

Maana Jamaa amejipatia sana Pesa !ila uzuri kawa fadhili ACT wazalendo sana kawapa Mpaka ofisi

Britanicca
 
Hakika sikuona kwanini tutumie Pesa kubwa sana kufanya ujenzi

Ila ilikuwa ni njia ya kuchannel Pesa kwa ajili ya 2030,

Maana Jamaa amejipatia sana Pesa !ila uzuri kawa fadhili ACT wazalendo sana kawapa Mpaka ofisi

Britanicca
Dubai pale kwao kulikuwa jangwani ila walijenga mpaka sasa mji unapendeza , wangeweza kuwekeza hata America kama wahindi ila walijengwa kwao mpaka leo wanapiga pesa tu .
 
Uasi sio sawa na kupiga hela.

Hatahivyo, wasitafutiwe sababu.

Naenda lanchi kijiweni, ngoja niwasikie wadau wa mtaani.
 
Mwaka fulan ilimlazimu mheshimiwa mkubwa Kwenda kutoa ushahidi mahakamani kutokana na ujenzi wa nyumba ya ubalozi Ulaya , gharama zikawa mara Tatu ya uhalisia!

Nikajiuliza swali,
Kwanini sasa hapo Kenya tunapopanga kujenga jumba la ubalozi kuna mpango wa kutumia Pesa nyingi sana ! Je kwanini tusitumie Pesa chache sana na baki ikafanya mambo mengine ya msingi?

Huu ujenzi wa holela holela kupitia Wizara ya mambo ya nje uangaliwe upya

Ipo siku tutasimamishana kizimbani

Britanicca

Pia soma
Kwani huo mpango wa ujenzi wa majengo nje ya nchi ulianza kipindi gani?

Kama sikosei nafiriki alilianzisha magufuli hili.

Si mlisema Samia anamalizia miradi ya Magufuli? Mbona mnamgeuka tena?
 
Hakika sikuona kwanini tutumie Pesa kubwa sana kufanya ujenzi

Ila ilikuwa ni njia ya kuchannel Pesa kwa ajili ya 2030,

Maana Jamaa amejipatia sana Pesa !ila uzuri kawa fadhili ACT wazalendo sana kawapa Mpaka ofisi

Britanicca
Britanicca. Unaweza kuwa jikoni sawa, ila unaweza ukawa unatumika na makundi ya kisiasa kwa faida za kisiasa tu na wala sio nchi.

Embu tupeni huo ushahidi wa pesa kupigwa maana kama kuongea kila mtu anaweza kuongea na akaaminika!
 
Kwani huo mpango wa ujenzi wa majengo nje ya nchi ulianza kipindi gani?

Kama sikosei nafiriki alilianzisha magufuli hili.

Si mlisema Samia anamalizia miradi ya Magufuli? Mbona mnamgeuka tena?

nope, ilikuwa ni awamu ya 4 ndiyo ilianzisha kujipendekeza na kujinyenyekeza kwa kenya mpaka hata wakaita barabara yetu posh mwai kibaki wakati kenya hakuna hata kichochoro kilichopewa jina lake, Magufuli pamoja na mapungufu yake yote asingeweza kufanya ujinga kama huo wa kujenga kenya kwa fedha za watanzania …
 
IMG_20211228_160309.jpg
 
nope, ilikuwa ni awamu ya 4 ndiyo ilianzisha kujipendekeza na kujinyenyekeza kwa kenya mpaka hata wakaita barabara yetu posh mwai kibaki wakati kenya hakuna hata kichochoro kilichopewa jina lake, Magufuli pamoja na mapungufu yake yote asingeweza kufanya ujinga kama huo wa kujenga kenya kwa fedha za watanzania …
Nakumbuka vizuri wakati wa Magu ndo walianza huu mpango. Na ilisemwa kiwanja chetu kipo eneo la Nairobi amblo ni prime area na lina uhakika wa kupata wapangaji wanaolipa vizuri.

Sasa swali langu.
Inawezekanaje Samia kutekeleza mipango iliyoanza kipindi cha magufuli au tuseme watangulizi wake alafu lawama apewe Makamba?

Mbona kwenye miradi mingine hapewi lawama Samia wala Mawaziri wake?
 
Nakumbuka vizuri wakati wa Magu ndo walianza huu mpango. Na ilisemwa kiwanja chetu kipo eneo la Nairobi amblo ni prime area na lina uhakika wa kupata wapangaji wanaolipa vizuri.

Sasa swali langu.
Inawezekanaje Samia kutekeleza mipango iliyoanza kipindi cha magufuli au tuseme watangulizi wake alafu lawama apewe Makamba?

Mbona kwenye miradi mingine hapewi lawama Samia wala Mawaziri wake?

kiwanja Magufuli alikikuta kipo tayari tangia awamu ya 4 aliyoikuta …
 
Back
Top Bottom