Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Inaweza kuwa, lakini nahisi nayeye anatakiwa awe na uwezo fulani kuhimili mikiki mkuu vipi hujaliona hilo?Labda kukosa hisia maana wengi kazi yao kupokea hana umuhimu wa kutumia nguvu najiwazia mwenyewe
KabisaLabda kukosa hisia maana wengi kazi yao kupokea hana umuhimu wa kutumia nguvu najiwazia mwenyewe
Kiume= kikeWapo mkuu wenye upungufu wa nguvu za kiume yani inatokea anakosa kabisa hisia hata umshike cjui wapi hola , video za ngono hola..ndo hvyo
Hanithi maana yake, nini mkuu? Mana nahisi huyo ni tofauti na mtu mwenye upungufu, huyo tunaweza kusema hana uwezo kabisa?Wapo maanithi wa kike.
Kwa mwanaume makala mbalimbali zinasema uwezo wa kuridhisha mwanamke katika tendo, yani kutumia muda mrefu kidogo katika tendo ukiwa katika hali ya kawaida lakini kwa mwanamke, ndo sijafahamu bado kuwa iko vp?Hivi hizo nguvu huwa ni zipi?!
Au kwa mwanamke ni vice versa ya hiyo point yako mkuuKwa mwanaume makala mbalimbali zinasema uwezo wa kuridhisha mwanamke katika tendo, yani kutumia muda mrefu kidogo katika tendo ukiwa katika hali ya kawaida. Lakini kwa mwanamke, ndo sijafahamu bado kuwa iko vp?
Yaweza kuwa, mtu anafahamu vizuri anaweza turekebisha.Au kwa mwanamke ni vice versa ya hiyo point yako mkuu
Nimekuelewa, nadhani inaweza kuwa hivi mkuu.Hapa itakua kiswhili
Kwa mwanamke hafanani na mwanaume ambapo kwa mwanaume tunasema erectile dysfunction wakati kwa mwanamke hakuna
Kwa mwanamke kuna kitu kinaitwa loss/decreased libido ambayo kwa mwanaume pia ipo siyo mswahili kivile lkn libido ni kama nyege , ambayo ipo kwa me& ke
Upungufu wa nguvu za kike hakuna ila kuna upungufu wa nyege
Kweli inaweza kuwa hivi mkuu.Nnadhani wote wanaume kwa wanawake wanaweza kupatwa na tatizo hili.Tofauti ni kwamba kwa mwanaume tatizo linajidhihirisha wazi/kirahisi zaidi tofauti na kwa wanawake.
nashangaa mkuu, hawajatupa uzoefu ase wapo kimya!Kwani hakuna wanawake humu watueleze vizur, au wanawake wa humu wanachangia Mada za nguvu za kiume tu.