Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Kuna dada yangu yupo katika ndoa kwa miaka nane sasa hajabahatika kupata mtoto. Amehangaika kwenye mahospitali mengi na mpaka alishafanyiwa operation ya mirija kwani walisema mirija yake imeziba.
sasa juzi katika kusoma gazeti akakutana na tangazo linalosema Tiba za kisayansi kutoka UK. kama nilivyoambatanisha hapo. wao wanasema wana dawa za kuzibua mirija bila operation na kutibu matatizo ya uzazi.
Mwenye kuwajua hawa watu tafadhari naomba msaada maana sitaki aende kupoteza hela bure.
sasa juzi katika kusoma gazeti akakutana na tangazo linalosema Tiba za kisayansi kutoka UK. kama nilivyoambatanisha hapo. wao wanasema wana dawa za kuzibua mirija bila operation na kutibu matatizo ya uzazi.
Mwenye kuwajua hawa watu tafadhari naomba msaada maana sitaki aende kupoteza hela bure.