sasa kiongozi kama alishafanyiwa operation hizo dawa tena za nini,au operation haikuwa na mafanikio?alishafanyiwa operation ya mirija ...wana dawa za kuzibua mirija bila operation
Arbotion salary!
Mchakamchaka acha kutoa hukumu kwa jambo ambalo hujui. Labda huyo dada amshauri mume wake apime pia.