Je, hapa Tanzania kuna hii mbegu ya mchungwa inaitwa CLANOR?

Je, hapa Tanzania kuna hii mbegu ya mchungwa inaitwa CLANOR?

Thesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2010
Posts
997
Reaction score
282
Habari ya mchana ndugu zangu. Nimekuwa nikitembea katika mitandao kutafiti kilimo cha machungwa.

Huko Kenya nimeona kuna mbegu ya Africa kusini wameitumia inafanya vizuri inaitwa CLANOR. Je, hapa Tanzania hii mbegu ipo? Kama kuna mtu anaifahamu naomba anisaidie nichukue chache nifanyie majaribio kama itakubali katika eneo langu.

Ahsanteni. Nawasilisha.
 
Mkuu,
VIP labda ukiagizia wewe Kenya ukaifanyia utafiti?
 
Back
Top Bottom