Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

Hata mimi nafikilia ivyo mkuu hii ni michezo tu ya mjini apa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Harmonize ametoa hiyo taarifa alipohojiwa na watu kadhaa including MCL, Millard Ayo etc. Nenda Youtube utaona yeye mwenyewe akitoa hio taarifa
Wasanii usiwaamini kwa 100%hata kama wanahojiwa na nani!!...Mimi huwa naamini viunganishi vya maneno tu kama"na".."wa" nk lakini siyo sentensi nzima!
 
Kama show moja anaweza pata 30mil na kauza nyumba zake 3 poa yupo kwenye industry zaidi ya miaka 7 anashindwa vipi kulipa hiyo million 500??
Tatizo usanii kwenye kila kitu...kuongeza 0 tuu ndo jambo mnalojua
Kumbuka hayo mapato yalikuwa yanaenda WCB ye analipwa some %,
 
Ndugu mwandishi, fanya uchunguzi kwanza ndiyo ulete hoja. Ilivyo ni kwamba, mkataba wake wa kufanya hayo malipo sio wa kuilipa hela yote kwa pamoja ila ni wa kulipa hilo deni taratibu kwa kipindi fulani.

Uamuzi wa yeye kuuza au kutokuuza ni wake. Kwani kuzijenga ulimshauri?
 
Kama show moja anaweza pata 30mil na kauza nyumba zake 3 poa yupo kwenye industry zaidi ya miaka 7 anashindwa vipi kulipa hiyo million 500??
Tatizo usanii kwenye kila kitu...kuongeza 0 tuu ndo jambo mnalojua
Kidadari,
Kila kitu huwa ni kwa makubaliano. Uwezo wa kuilipa hiyo hela mara moja anao, ninaamini hivyo, kwa mujibu wa taarifa nilizonazo lakini sheria imeruhusu alipe kwa awamu kadhaa sio mara moja. Jambo ambalo ukiniuliza mimi nitakuambia lipo sahihi kabisa, tena kwa asilimia mia moja. Kwanini? Sijui.
 
Akiwa ndani ya mkataba ameweza kujenga jina na fan base yake, amejenga hizo nyumba na mafanikio mengine.

Ila kwa maamuzi yake kaamua kuvunja mkataba, ili afikie malengo yake.
Ila kisheria lazima ulipe gharama za kuvunja mkataba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pesa ya video ishalipwa through yYouTube viewers
 
hahahaaa sawa magufuli kaendeleze nchi
 
hv kama anauwezo wa kukodi ndege kwa siku moja kwa ajili ya kumpeleka kwao kwenye shoo anashindwa vp kulipa pes
 
Kwani aliposaini mkataba hakuona kwamba utamnyima uhuru? Ni muhimu kufikiri sana kabla ya kufanya maamuzi hasa mambo ya mikataba
wakati ana sign mkataba alikuwa si lolote ni wakati alikua akipigania kula yake kuliko kitu kingine...hakuwa hivi alivyokuwa sasa asingeweza kuleta kiburi...lkn kwa sasa ameshapevuka anaweza akasimama yeye kama yeye..
 
ina maana hizo nyumba 3 zimeshindwa kufikisha m500.....lkn angeulizwa thamani kabla hazijauzwa kila moja angesema inakaribia m800......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…