Je, Harmonize amechukua fomu ya ubunge kimya kimya?

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Nimeona makada mbalimbali wa CCM wakiwemo wasanii wakiripotiwa kuchukua fomu za ubunge katika majimbo mbalimbali na viti maalumu.

Katika wasanii ambao nilitarajia kukutana na picha ama taarifa yake ya kuchukua fomu ni Harmonize kwa kuwa alikuwa ameweka wazi nia hiyo toka Rais Magufuli alipomchomekea swala la ubunge wa Tandahimba huko Mtwara.

Je, huu ukimya ni kwamba amepotezea au amechukua fomu kimyakimya? Wanatandahimba tuambieni.
 
Kachukua fomu kimya kimya mara ghafla mtamuona kwenye kura za maoni,πŸ€” najaribu kuwaza tu hapa
 
Nahisi atakuwa kachukua kimyakimya..harmo hapendi showoff Kama alikiba.
 
Alie kuwa anataka kumpindua kaisha rudi ccm kwa hiyo kazi yake ilisha isha
 
Kijana alichukulia masihara ya magufuli serious πŸ˜‚, naona watu wakamwambia "dogo acha ufala, mzee alikuwa anakutania tu" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



Let's meet at the top, cheers πŸ₯‚
 
WAJUMBE mzee baba... Wajumbe walimtonya mapema kabisa kuwa
"Dogo usihangaike kufuta tatoo na kutoa bleech nywele zako, yatakayokukuta tusilaumiane"

Harmo akalielewa somo mapema. Angepuuza naye angekuwa anajutia km kina Master J na rasta zao, hahaha...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…