Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Kuna mambo mawili hapaNgoja niliweke jina la Diamond Platnumz hapa watu waje kuchangia. Maana watu wanampotezea mmakonde kama hawajui anatafuta attention zao.
Kiki aliziweza Diamond tu jaman watu tulikuwa mpaka tunakesha [emoji3059][emoji3059]
Haunaga kazi basi yaani usilale kisa mmakonde au yule Dangote wa Tandale?Ngoja niliweke jina la Diamond Platnumz hapa watu waje kuchangia. Maana watu wanampotezea mmakonde kama hawajui anatafuta attention zao.
Kiki aliziweza Diamond tu jaman watu tulikuwa mpaka tunakesha 🥰🥰
Si katoa juzi manyimbo mengi tu 🤣🤣Naona Kuna mambo mawili hapa
Ku mute issue ya mondi kufikisha 70m kwa albam yake ya first of all
Au mmakonde anataka kutoa hit???...
Au both
Ngoja niliweke jina la Diamond Platnumz hapa watu waje kuchangia. Maana watu wanampotezea mmakonde kama hawajui anatafuta attention zao.
Kiki aliziweza Diamond tu jaman watu tulikuwa mpaka tunakesha [emoji3059][emoji3059]
Nimeweka jina la Diamond thread ipate wachangiaji na kweli mmekuja... enzi diamond anatupa drama za zari na tanasha na wema sijui kama zitaweza kujirudia huyu mtu mfupi naona anatumia nguvu nyingi bila mafanikio nobody caresHaunaga kazi basi yani usilale kisa mmakonde au yule dangote wa tandale?
wewe sio tu mpenzi wa Diamond ni hater wa Harmonise,unaweza kumpenda Diamond bila kumchukia Harmonise..Nimeona thread nyingi sana una chuki na Harmonise. Pengine maskini hata hajui kama unaishi dunianiNimeweka jina la Diamond thread ipate wachangiaji na kweli mmekuja... enzi diamond anatupa drama za zari na tanasha na wema sijui kama zitaweza kujirudia huyu mtu mfupi naona anatumia nguvu nyingi bila mafanikio nobody cares
msitunange ivyo kumbukeni na sisi ni watu[emoji23][emoji23]Watu wafupi ni janga la taifa
Wewe utakuwa mwanaume.Andunje Harmonize ni Kifurushi Cha majibu tu hamna kitu, andunje ni andunje tu akili zao ni fupi sana. Kiborironi Cha mmakonde kitamuweza kajala?!! Andunje ni andunje tu imeisha hio....
Manyimbo ya kusifia shepu la bibi kizeeSi katoa juzi manyimbo mengi tu 🤣🤣
Ngoja niliweke jina la Diamond Platnumz hapa watu waje kuchangia. Maana watu wanampotezea mmakonde kama hawajui anatafuta attention zao.
Kiki aliziweza Diamond tu jaman watu tulikuwa mpaka tunakesha 🥰🥰