Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Wakuu hili ni swali la ufahamu tu maana nimesikia vibao kadhaa wa kadhaa huko tena baadhi ni vya wanamuziki wa hapahapa bongo.
Je wanalipwa hawa au ndo mambo ya uzalendo kwanza?
Je wanalipwa hawa au ndo mambo ya uzalendo kwanza?