GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi aliyekufa ni Mzee Sarungi ninayemfahamu Mimi au ni huyu Mzee wako Sarungu ambaye Watu wote hata hawamjui?Kuwa na maudhurio ya watu wengi sio utakatifu ....kwa taarifa yako mzee tuko nae moyoni na hasa kwa kutuletea mtoto mwenye akili ...itoshe tu kusema Mzee wetu Sarungu kaacha Legacy kubwa kwa Taifa
Ila ya kukupa Mimba zangu ninayo.Kijana wa TISS ambaye hauna akili
Sawa Afisa kipenyoIla ya kukupa Mimba zangu ninayo.
Naona hiyo Dozi ya awali niliyokupa imekuingia vizuri kabisa. Rudia tena kisha nikupe nyingine kwani hapa ndiyo HQ Oky?Sawa Afisa kipenyo
Mzungu huyoSikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.
Ila ya kukupa Mimba zangu ninayo.
Ukizidi uzungu hata mazishi yako haji mtuSikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.
Hasa tu pale Mpumbavu akiyatafuta Kwangu, ila nakuhakikishia hakuna Mtu Mstaarabu na Muungwana kama GENTAMYCINE.Ila aisee una maneno machafu
AiseeHasa tu pale Mpumbavu akiyatafuta Kwangu, ila nakuhakikishia hakuna Mtu Mstaarabu na Muungwana kama GENTAMYCINE.
HQ ya mashogaNaona hiyo Dozi ya awali niliyokupa imekuingia vizuri kabisa. Rudia tena kisha nikupe nyingine kwani hapa ndiyo HQ Oky?
Kama alivyo Baba yako Mzazi.HQ ya mashoga
HakikaKama alivyo Baba yangu Mzazi.
Wewe ni Mwanaume Soda iliyoisha Gesi.Hakika
Mkuu nje ya mada. Je ni kweli Belgium na France zinajipaga kuvishambulia vituo vya kijeshi nchini Rwanda?Wewe ni Mwanaume Soda iliyoisha Gesi.
Sikutegemea kabisa kwa Mtu kama huyu Profesa Sarungi kupata haya Mahudhurio hafifu Karimjee Hall. Nimesikitika mno.