Je, Hayati Magufuli alichukia wawekezaji au alichukia wawekezaji janja janja?

Dah. Ndo maana SSH jana kawasifia anavyopenda kusikia wanavyoongea Kiswahili.
 
Umeandika usiyoyajua kabisa! Kwa taarifa yako ni kuwa wakenya no wataalamu waziri Sana katika lugha ya kiswahili na walimu wa kiswahili wa kimataifa wanatoka Kenya!
Kuhusu mwendazake kuwachukia wawekezaji lipo wazi kabisa kwani hakumpenda yeyote mwenye mtaji na alijitahidi kuwafilisi na kuwabandikia kesi za utakatishaji pesa Hadi kuwaundia Sheria na mahakama!
 

Kwa mfano uliotoa kwa shule ndio nimekuona wa ajabu.

Hakuna mkazi wa kigeni tapeleka mtoto wake katika shule ya serikali kwa saba u sheria hairuhusu. Kwa hiyo atapeleka mtoto shule binafsi na nyingi au zote zinatumia kiingereza kala lugha ya kufundishia. Ili mtoto huyo wa lugha ya kigeni ajue kiswahili - itabidi afundishwe lugha hiyo kwa kutumia kiingereza!! So hitaji la mwalimu wa kiswahili ni kiingereza fasaha!! Hii ndio sababu pia waalimu wa Kiswahili South Africa ni wake ya. Wa kwetu walianguka kiingereza.

Mkuu, iko hivi. Mwalimu wa shule ya msingi Kenya ana shahada ya chuo kikuu. Wa Tanzania bado tu waalimu walipata division 4 elimu ya sekondari. Huu ni ukweli na sidhani utaukataa.
 
Unawezaje ukaruhusu walimu wa Kenya nchini wakati tuna maelfu wa wahitimu wa Kitanzania wanaotaka hizo ajira?

Hizi ndizo akili za wanachama wa chama cha mbowe!
Sio kila anayeongea ama aliyesomea kiswahili anaweza kukifundisha! Wangekuwa wanaweza Basi watoto wetu wangepata Alama za juu Sana katika Somo la kiswahili kwenye mitihani yao! Elewa Hilo!
 
Mwendazake JIWEpm alikuwa hataki mtu yeyete afanikiwe isipokuwa yeye na MAJANGA construction yake

"Chato ni nchi yetu sote"
 
Jamaa hata hajui kuwa chimbuko la kiswahili ni Mombasa/malindi ambazo ziko Kenya
 
Magufuli was typical utopian with zeal in micro-approach for managing ultra structures. He ended up failing miserably. He is gone. Let him rest where he deserves.
 
Unawezaje ukaruhusu walimu wa Kenya nchini wakati tuna maelfu wa wahitimu wa Kitanzania wanaotaka hizo ajira?

Hizi ndizo akili za wanachama wa chama cha mbowe!
Kua tu na walimu sio sababu.unaweza kua na walimu wenye vyeti ila wakawa wababaishaji tu.Unadhani kinachotukwamisha mara nyingi ni nini kama sio ubabaishaji na uswahili mahali pa kazi.Kuna kipindi south afrika ilichukua walimu wa kiswahili kenya badala ya Tanzania nasio kwamba hawajui kua Tanzania yaweza kua na walimu wengi wa kiswahili kuliko Kenya ila inawezekana kuna sifa za ziada tunazikosa.Yatupasa tubadilike badala yakukalia ubishi na ujuaji usio na maana.
 
Kwa umaskini na makuzi yake aliathirika kisaikolojia kiasi kwamba akawa anachukia kila mtu TAJIRI hata kama siyo muwekezaji.

Ushamba, kukulia maisha ya kutojuwa biological father ambaye alikuwa mrundi, magonjwa ya moyo, ukichaa ndiyo vilimfanya ajikatae ma kuchukia watu wote wenye fedha zao.
 
Mkuu umeua! ha ha ha!
 
Kuandika tu huwezi, halafu unataka kujitia mchambuzi wa hoja!?

Maneno meeengiii, ujinga mtupu!

Ajira zote zinazingatia nguvu-kazi-watu ya ndani.

Usitake kulisha watu ujinga hapa!

Yaani uache kuajiri watu wako, ukimbilie kuajiri wakenya?

Stupid baboon!
 
kutojuwa biological father ambaye alikuwa mrundi
Hii uliipata wapi? Story hii wanaijua wazee wachache (ambao bado wanaishi) wa pale Kashalunga, Muleba mahali familia ya akina Magufuli ilikoishi hadi robo ya kwanza ya 1960s, kisha kuhamia Biharamulo na baadaye Kyato!
 
Nini kina kufanya ushangae Mwalim wa somo la kiswahili kutoka Kenya,
 
Hakuwa na akili kama wewe
 
Magufuli alimchukia kila mtu isipokuwa vijana wake wa Tanroads.

Kifupi mwamba hakuwa na utu hata kidogo
 
Hakutakiwa kuwachukia, alitakiwa awawekee sheria, kanuni na taratibu za kufuata wakizikiuka ashughulike nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…